Mimi nimewekeza kwenye mfuko mmoja wapo pale UTT unaitwa mfuko wa jikimu ambao napata gawio kila robo mwaka lakini gawio hilo silichukui linaendelea kununua vipande.
sasa ninachouliza hii UMOJA FUND na JIKIMU FUND ipi nzuri kuwekeza?
maana nilimsikia mfanyakazi mmoja wa UTT akielezea kuhusu...
tuchukulie anategemea ndugu wamsaidie hiyo ada iliyobaki.
Kwani hata hao wanao lipwa asilimia miamoja lkn bado mwisho wa siku wanalalamika nyumbani na kwa ndugu baki wawatumie fedha ya matumizi, wanadai imeisha, hususani pale kipindi kigumu cha boom kukalibia kutoka.
Siku hizi wazazi hata kama...
Ndugu yangu TIASSA Twende taratibu,
kama ni siku 240 @7500=1,800,000 hii ni ya chakula kwa mwaka mzima unayopewa na bodi.
chukua 1,800,000-720,000=1,080,000/=
Sasa hii 1,080,000/= ndiyo niliyosema unaibana kwa ajili ya chakula kama nilivyochanganua hapo juu.
Kuhusu usafiri amesema yupo chuo...
-Chai tumia 600(yaani chai rangi 200,maandazi 2 @200)
-Lunch 1200(Ugali au wali maharage,mchuzi na mboga za majani)
-Dinner 1200 as lunch
-maji 2 @500=1000
-vocha 500
-hutokuwa na gharama ya nauli kwani pale NIT hostel za kupanga zipo karibu sana na chuo yaani mabibo kwa hiyo utatembea tu...
JOINING IMESHATOKA KAZI KWAKO
Please download following important documents
Freshers' Joining Instructions 2014-2015
Pre-orieantation Information 2014-2015
Issuance of Admission Letters
source: www.udsm.ac.tz
INTERIM REPORT ON FIRST BATCH SELECTION
INTERIM REPORT ON FIRST BATCH SELECTION 13th September, 2014
The first selection of candidates into Bachelor Degree programs hasbeen conducted and below is a brief summary of the process.
The overall capacity for...
We kama umewasiliana nao na wamekuambia kuna technical problem ya kujisajili mara mbili na wewe hujajisajili mara mbili basi hilo ni kasa lao sio lako na kama profile yako inaonesha data zote ulizojaza zipo na kwenye kozi inaonesha checking in progress basi we huna kasoro ni wao watarekebisha tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.