Timu ya Yanga itafafanya sherehe za Ubingwa wa Ligi kuu baada ya kumshikisha adabu Mnyama tarehe 18 mwezi huu pale Makao Makuu ya Yanga mtaa wa Twiga na Jangwani! teh! teh! hizo ni habari za hivi punde. Asiyetaka nani?
Wakuu habari zenu kwa ujumla? naomba kufahamishwa kuhusu Mbunge anapofanya kosa la jinai akiwa ndani ya Bunge {Mjengoni} je ataadhibiwa na kanuni za Bunge tu au kuna uwezekano wa kufunguliwa mashitaka Mahakamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.