Niko kwenye ndoa kama mwaka na nusu sasa na mwanamke ambaye tulikuwa kwenye uhusiano kwa muda wa zaidi ya miaka sita.Juzijuzi alipata ka-scholarship huko Ughaibuni ka muda wa muda mfupi.,tumepelekana airport kwa bashasha tele.
Mwanzoni mawasiliano yalikuwa mazuri japo siyo kwa...
Heshima Kwenu!
Imetokea (kwa mujibu wa daktari) kwamba miscarriage inapotekea haswa kwa mimba za umri wa chini ya miezi 3 lazima asafishwe.Naomba kufahamishwa je,
Mosi,
Inawezekana kusafishwa kwa kuingiziwa "machuma" au kuna dawa za kumeza ili kusafisha.?
Pili,
Mwanamke anaweza kuconsive...
Wa-JF
Ningependa kupata mawazo yenu kuhusiana na mahali muafaka kwa ajili ya kuifanya hii kitu (kwa Tz)..
Pia ni kitu gani wadada wanategemea..
Brothaz twatakiwa tufanyaje kuifanya iwe SPESHELI Daima...
Wasalaam wakuu!!
Kalaptop kangu kananizingua ni HP530,Hivi karibuni nilikuwa sikatumii kukafungua nikakuta hard drive zinajaa bila ya kusave chochote nimejaribu kustop system backup (manake nilischedule kila siku) wapi nimekascan lakini wapi.
Msaada wakubwa!
Wajameni sijaelewa huyu mkuu wa afande hapa Dar daily kideoni,mara amekamata vibaka.. ooh wamachinga...,hivi hakuna msemaji wao kwa kanda hii au ndo kale katabia akistaafu mjengoniiiiiii
Hivi kwanini wajamaa wengi wanaotengeneza/kuuza samani za ndani hawana website,mpaka uwatafute? ni gharama au mazoea.. wateja watakuja tuu.... wachache hawaweki bei inakuaje hii
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Nishaurini tafadhali,
Huwa nawashwa na pua sana (muda mrefu sasa) hasa wakati wa usiku nimezisugua mpaka zinatoka damu, nilidhani ni vumbi lakini nasafisha ninapolala sana, lakini tatizo ni kwamba siku moja nilishangaa kuona damu zinamwagika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.