Nikushauri kitu. Kum'pamba mtu, kaa chini bila papara, tafiti, andika, futa, soma tena, andika ili angalau usipate mashambulizi binafsi bali upingwe kwa hoja!
Sasa nyimbo ziimbwe usiku mnene, ulevi umetamalaki na kibali kapewa...na mbele ya watu wazima. Na nyimbo hizo hizo zinasikika redioni mpaka unapata ukakasi kusikiliza ukiwa na watu mnaoheshimiana, Basata wacheni hizo!
1. Achana naye songa 'mbere'. Akiuliza sababu mpe kama ulivyozipata.
2. Endelea naye ila naye awe 'mchepuko', tafuta mwanamke mwingine akijua mueleze mbona kama unavyofanya tu wewe.
Mkuu P., nadhani suala la upinzani kuchukua dola ni lini naliona liko mikononi mwa wananchi. Wapinzani wameshafanya kazi yao kwa nafasi yao kwa uwezo wao ni jukumu la Umma kuamua wanachotaka na lini. Hata ikichukua miaka 100 kwa Umma ambao hauna muamko na upinzani, hata aje nani....tutabaki na...
"Amefanikiwa kumuua" .....kufanikiwa ni dhana ya ushindi sasa mauaji yanakuwaje mafanikio. Japo madai ya kuwa walikuwa na mahusiano yasiyofaa na mama'ke inazidisha kiza katika hii habari!
Mkuu P.,
Shukrani sana kwa hili. Kwa andiko hili la Mh. Rais naamini na mengine mengi yatafuata tupate uzoefu wake katika serikali na asasi binafsi alikopitia. itasaidia kuibua mijadala tofauti tofauti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.