Wana janvi mimi mesomea bachelor banking and finance afu nmeipata hiyo form nataka niijaze lKin kuna maswLi najiuliza sijpata majibu je huanza kulipa kama ngapi hivi na kulingana na carrier yangu nafaa kweli kwenda huko afu vipi wanaitwA interview lin na mazoezi vip yanaanza lin
Jamani nimefanya uptude test starndad chartered tulikuwa watu saba nilikuwa nimeomba internship hiv wanalipwa afu kwa wale tulofanyia interviw nauliza kna mtu yeyote kpigiwa simu
naomba ushauri kiukweli tangu nkiwa mdogo form three(2006) ilitokea nkapenda san kufanya kazi benk ikanilalim kuanza ksoma masomo ya biashara(HGE) nkafaulu hiyo kombi nkaso A level ndipo ankafaulu fuculty ya kwnza banking and finance bachelor chuo cha ifm dar baada ya kufika chuo nkataman pia...
nashukuru kwa jisi mnavyo nishauri kuhusu mwanko nakiri mefanya kosa ila sta rudia hivi niulize ni kweli yeye uko sahihi mi nsifanye nae mapenzi hofu yangu mo ni hivi ikitokea akabikiriwa na mtu mwingine hapo changu sina na momi naamin hakika ni bikra kwani nimekaa nae nafahamu tabiya yake...
asante kwa ushaur wenu kunay maswal eulizwa mi nina miaka 26 na elimu yangu ni gradute finance from ifm na yeye 22 yey kmaliza tu form four sorry kwa wale ambao hawajaupata vizur ntajtahidi kuimprove endelea kunipa ushauri
mimi nina mchumba wangu nmpenda xna lakin nna chllenge moja hataki tufanye mapenzi andai yeye ni bikra nkfanya nae ntamfundsha vbaya lkn mi na wacwac cyaamin mawzo hayo ht hvo mi nko mbli nae bc ikbd nkubliane nae bado nnxfri ndefu nkweli ncfnye mpenz nae nshaur jmn
katka maisha kila mtu ana mikasa na historia zke mimi ni mwanachuo mwaka tatu chuo cha ifm nasomea bachelor banking and finance hata hivo tatzo langu ni hiv nkigraduate july2013 cna mahala pa kikaa hapa mjin nkifanya mipanho yaa mishe itanbidi niende kijijin ambako hata mitandao ya neti hamna...
sis ban htna tatzo weny mtatzo ni wale wvta bang mfano mi elimu yangu ni degree holder ciwz mpiga mke wangu maake mechangamna na makabila meng inkwa nasom na kjfnz vtu ving xna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.