Katika wizara zinazoundwa kwenye nchi kuna wizara ambazo watu upenda kuzishika mfano ni wizara ya ujenzi. Hii ni wizara inayofanya kitu ambacho ni kinaonekana (visible) tofauti na uchumi nk. Kitu ambacho unatakiwa kujiuliza hela za barabara zinatoka wapi? Kama ni kodi moja kwa moja au mkopo...
Kuna wakati Magufuli alikuwa chini ya hao unaosema wakupe majibu. Hivyo huwezi kumsifia Magufuli ukawaacha katika sekta alizozisimamia Magufuli.
Pili mfumo wetu wa siasa ni kutetea msimamo wa chama na si itikadi ndio maana uongozi wa chama ndo unateua mtu si kama nchi nyingine chama kinakupa...
Soma vizuri uelewe Mh. Hao waliotoka wameenda kuungana na watu waliotasema hayo anayosema Magufuli muda mrefu. Magufuli anayasema akiwa amezungukwa na watu na mfumo uleule uliokataa kuwasikiliza wapinzani walioungana. Swali la kujiuliza kama angekatwa angekuwa Magufuli huyu anayeongea au yule...
Mkirejea mrejesho (type youtube DICOTA USA) wa mwakilishi wa diaspora kwenye bunge la katiba alioutoa kwenye kongamano la diaspora wa kitanzania Marekani (DICOTA) uliofanyika jimbo la North Carolina jiji la Durham baada ya kuwa sehemu ya walioibadili rasimu ya warioba kwa diaspora kupewa hadhi...
Waliotoa ile clip wamevunja miiko ya kazi pengine wawaulize mawakili wanapoongea faragha na wateja wao mangapi wanaambiwa maovu lakini wanaendelea kuwatetea?
Kimsingi uwe ukawa au ccm ni kwamba wafanyakazi wamechemsha sana wanaua biashara ya station
Wamekata kwanza gharama za uwekezaji (capacity charges) au service charges za mwezi na iliyobaki ukapewa unit 10. Hivyo ukinunua units kabla mweZi haujaisha wa ununuzi utapewa units kwa hela uliyoweka, mfano ukiweka sh 25 elfu utapewa unit za elfu 25 na inawezekana zikafika 100 kwasababu...
Alisema yuko likizo kwasababu za kutokuelewana na kama akiona vipi atawakuta mbele ya safari. Slaa aliamua kutorudi. Kumbuka alisema waliamua aende likizo na mpaka siku anatoka live angeweza kurudi kuendelea na ukatibu mkuu.
CCM ilirithi mikoba yote ya mfumo na utajiri wa ASP na TANU. Kama ilivyorithi dola bila uchaguzi wa vyama 1977 na utajiri kama viwanja vya michezo ndivyo kwa kipimo hicho hicho imerithi mazuri na mabaya kuanzia 1961.
We wakanushie lakini jua ndo maana wao hawakanushi
Kuna jimbo la mtama na kitongoji cha mtama.
Kuna wilaya ya songwe na mkoa wa songwe
Kuna wilaya bukoba vijijini na jimbo la bukoba vijijini.
Kuna kata Ukonga na jimbo la Ukonga
** kitongoji cha mtama kiko ndani ya jimbo la mtama lenye vitongoji vingi.
Hivyo si ajabu ya idadi ya waliorudisha...
Nimeona uzi hapa na facebook page ya BBC kwamba Rais Obama amemtua katibu wa jeshi shoga.
Tunapotafasiri maneno ya nje ni vizuri tufanye kwa kuzingatia cheo kulingana na nchi husika. Hivyo Rais Obama amemteua Waziri wa jeshi ambaye ni shoga.
Mfano katibu mkuu kiongozi wao ni chief of staff na...
Kati ya katiba strict kwa wanachama ni ya ACT, na hakuna uhuru wa wabunge watokanao na ACT. hoja binafsi za wabunge zinaandaliwa na kamati kuu ya chama alafu wanapewa wabunge wake kuziwakilisha bungeni.
Wao ni chama kwanza mwanachama badae. Kama unataka mawazo huru basi subiri kwanza. Mfano...
Hakuna anayejua utajiri wake, wote ni kuzusha kisa yupo karibu na matajiri. Magazeti yote yameandika lakini ukisoma hakuna aliyesema alipeleka habari takukuru wakaukataa, na magazeti hayajawahi kutaja mali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.