Search results

  1. AljuniorTz

    House4Sale Nyumba Inauzwa Full Shangwe Kigamboni

    Hakina, kina document kutoka manispaa ya Temeke na si wizara ya ardhi
  2. AljuniorTz

    House4Sale Nyumba Inauzwa Full Shangwe Kigamboni

    Nyumba ina vyumba vinne kimojawapo ni self, ukumbi wa kukaa na ukumbi wa kulia chakula, jiko stoo, n.k. Nyumba imebakia kuezekwa/kupiga bati. Ipo mita 300 kutoka barabara kuu jirani na shule ya Aljebra. Ina nyaraka ya manispaa ya Temeke, mwenye kuhitaji tuwasiliane 0713487490, karibuni.
  3. AljuniorTz

    Mauaji ya Padre Zanzibar: Ni kwa nini hukumu ya muuaji imekuwa ni siri na kucheleweshwa?

    Hapa hakuna MOD? Hii post hapa si mahala pake kama nipo sahihi.
  4. AljuniorTz

    Prescott Bush: The Nazi-Bush Connection

    Prescott Bush was part of a large banking group that funded the Nazi party and the uprising of the Third Reich. Prescott Sheldon Bush (1895-1972) married George Herbert Walker's (1875-1953) daughter Dorothy Wear Walker (1901-1992) in 1921 and she was renamed of course, Dorothy Wear Walker...
  5. AljuniorTz

    Viongozi wa uamsho wafikishwa mahakamani

    Nafikiria hili sekeseke liliwakuta Masheikh na viongozi wa Kiislam, lingewakuta viongozi wa CHADEMA na kufikishwa mahakamani na dhamana zao zikazuiliwa...; 1) Je, wangetukanwa, kukashifiwa na kusimangwa viongozi walioshtakiwa, ama kibao kingegeuzwa kwa mahakimu na polisi waendesha mashtaka...
  6. AljuniorTz

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    "Penye miti hakuna wajenzi" au "nabii hakubaliki nyumbani"
  7. AljuniorTz

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwadila Mbu; nipo kaka...tunakimbizana na maisha....!!!
  8. AljuniorTz

    2012 African Cup of Nations.

    Jambo linalinishangaza hakuna TV station ya Tanzania iliyonunua haki ya kuonesha michuano hii; binafsi naangalia kupitia KBC Kenya...sasa sijui ni hali ya uchumi hapa kwetu ama walitegeana ama vp
  9. AljuniorTz

    2012 African Cup of Nations.

    dk ya 25 Zambia 2-0 Senegal Senegal wamepotezwa sn dk hizi 25 za mwanzo, Zambia wanacheza mpira wa kasi na pasi za uhakika, na hapa inaonekana faida ya kuwekeza soka kwa vijana wadogo
  10. AljuniorTz

    Buriani: John Ngahyoma

    sijaiona, na nime-search similar post haikuleta kitu, so wot cn I do???? Mods wanaweza kuchanganya na iliyopo
  11. AljuniorTz

    Buriani: John Ngahyoma

    Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la BBC; John Ngahyoma amefariki dunia hospitalini leo asubuhi, maziko yake yatafanyika nyumbani kwake Tabata Segerea. Ngahyoma kabla ya kuwa mtangazaji wa BBC aliwahi kufanya kazi ya Radio One na ITV.
  12. AljuniorTz

    Movie Reviews

    Kuna ambaye ameiona Mission Impossible IV - Ghost Protocol; nimejaribu kupitia kwa wauzaji wa kibongo bado hawajaipata... Hebu pata hii clip...
  13. AljuniorTz

    CIA’s Daily Menu: 5mln Foreign Tweets!

    Kwa wale wanapenda kuropokwa maneno yasofaa, jamaa wapo kazini 24/7 ukija kukosa viza ya kuingia state usishangae; kumbe kuna mahala uliharibu na wenyewe wakakuona. CIA
  14. AljuniorTz

    Jibu nililopewa na idara ya ufundi ya IPP MEDIA limenisikitisha sana!!!!!!!!!!

    Sasa kwa hao operators; si ndani kwangu litakuwa zogo la kuwa na ving'amuzi vya kila kampuni??? Kwa nini wasitumie mfumo mmoja then mwananchi wa kawaida akaamua akitaka anahamia huku ama kule??? Ni usanii mwengine ule ule tu ili watu waendelee kuwaibia wenzao
  15. AljuniorTz

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    2-0 tnx to Ramires
  16. AljuniorTz

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    yeah 1-0 tnx to Drogba
  17. AljuniorTz

    Jibu nililopewa na idara ya ufundi ya IPP MEDIA limenisikitisha sana!!!!!!!!!!

    TV za TZ ni wezi tu, yaani wote hawapatikani kuanzia ITV/EATV/Capital/Chanel TEN hadi Star TV halafu wote wapo kimya hamna neno lolote kwa wateja wao...ni TBC1 pekee na chanel za nje ndio zinapatiakana. Inabidi tuwashtaki kwa mamlaka ya mawasiliano au kule huduma kwa walaji labda watapata adabu kdg
  18. AljuniorTz

    Msaada wadau wa IT..

    Tafuta CD ya Win 98 ili uweze ku-format au atafura ghost image yoyoye huwa ina option ya kuformat through dos command
  19. AljuniorTz

    ITV/EATV/Channel TEN & STAR TV HAZIPO HEWANI KTK DISH

    Nawataka radhi km nimerudia post Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish. Ilianza kupotea channel TEN, ikafuata Star TV na kuanzia last week ITV/Capital na EATV(wote wapo pamoja), hazipo hewani. Sina...
  20. AljuniorTz

    Sababu iliyomfanya kukataa kupigia kura Mlima Kilimanjaro; Viongozi wasome waelewe!

    Tathmini nzito kaka...mwenye macho na aisome, aizingatie na aielewe
Back
Top Bottom