Nyumba ina vyumba vinne kimojawapo ni self, ukumbi wa kukaa na ukumbi wa kulia chakula, jiko stoo, n.k. Nyumba imebakia kuezekwa/kupiga bati. Ipo mita 300 kutoka barabara kuu jirani na shule ya Aljebra. Ina nyaraka ya manispaa ya Temeke, mwenye kuhitaji tuwasiliane 0713487490, karibuni.
Prescott Bush was part of a large banking group that funded the Nazi party and the uprising of the Third Reich.
Prescott Sheldon Bush (1895-1972) married George Herbert Walker's (1875-1953) daughter Dorothy Wear Walker (1901-1992) in 1921 and she was renamed of course, Dorothy Wear Walker...
Nafikiria hili sekeseke liliwakuta Masheikh na viongozi wa Kiislam, lingewakuta viongozi wa CHADEMA na kufikishwa mahakamani na dhamana zao zikazuiliwa...;
1) Je, wangetukanwa, kukashifiwa na kusimangwa viongozi walioshtakiwa, ama kibao kingegeuzwa kwa mahakimu na polisi waendesha mashtaka...
Jambo linalinishangaza hakuna TV station ya Tanzania iliyonunua haki ya kuonesha michuano hii; binafsi naangalia kupitia KBC Kenya...sasa sijui ni hali ya uchumi hapa kwetu ama walitegeana ama vp
dk ya 25 Zambia 2-0 Senegal
Senegal wamepotezwa sn dk hizi 25 za mwanzo, Zambia wanacheza mpira wa kasi na pasi za uhakika, na hapa inaonekana faida ya kuwekeza soka kwa vijana wadogo
Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la BBC; John Ngahyoma amefariki dunia hospitalini leo asubuhi, maziko yake yatafanyika nyumbani kwake Tabata Segerea. Ngahyoma kabla ya kuwa mtangazaji wa BBC aliwahi kufanya kazi ya Radio One na ITV.
Kwa wale wanapenda kuropokwa maneno yasofaa, jamaa wapo kazini 24/7 ukija kukosa viza ya kuingia state usishangae; kumbe kuna mahala uliharibu na wenyewe wakakuona.
CIA
Sasa kwa hao operators; si ndani kwangu litakuwa zogo la kuwa na ving'amuzi vya kila kampuni??? Kwa nini wasitumie mfumo mmoja then mwananchi wa kawaida akaamua akitaka anahamia huku ama kule???
Ni usanii mwengine ule ule tu ili watu waendelee kuwaibia wenzao
TV za TZ ni wezi tu, yaani wote hawapatikani kuanzia ITV/EATV/Capital/Chanel TEN hadi Star TV halafu wote wapo kimya hamna neno lolote kwa wateja wao...ni TBC1 pekee na chanel za nje ndio zinapatiakana. Inabidi tuwashtaki kwa mamlaka ya mawasiliano au kule huduma kwa walaji labda watapata adabu kdg
Nawataka radhi km nimerudia post
Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish.
Ilianza kupotea channel TEN, ikafuata Star TV na kuanzia last week ITV/Capital na EATV(wote wapo pamoja), hazipo hewani. Sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.