Naona mnatumia wanyonge kama kichaka cha kuficha maovu yenu. Ulitakiwa kuandika sentensi moja tu tunadaiwa au hatudaiwi? Huwezi kuvunja mikataba kama mnavyovunja nyumba za Kimara za wanyonge mnaodai kuwatetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnatumia muda mwingi kushangilia kuliko kusikiliza Lissu alishauri mara nyingi nje na ndani ya bunge mkamuita kibaraka leo yamewakuta anawakumbusha mnamwita kibaraka si bora tu awaite pumbafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We si msela wa Manzese ni mlevi wa Lumumba, Odinga hana ndugu wala ushawishi wowote mkoa wa Mara. Kafanye utafiti upya kuhusu mkoa wa Mara ni tofauti sana na ile Masai land ya Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Before granting license to kill to the police we need to assess the degree of honesty, integrity and sense of malice towards our security personnel. Otherwise let them arrest and take the jambazi into the court of law.
Nashangaa tunalalamika kuwa hali za magereza Malawi si nzuri wakati Rais wetu anafanya ziara gereza la Ukonga alisema hali za magereza yetu zinatakiwa kuwa mbaya ili wafungwa wasistarehe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.