Obama ni mmarekani mwenye asili ya Africa basi, hii ikubalike kwani tunajua kuwa makabila mengi ya Africa kusini ya jangwa la Sahara ni muingiliano wa watu kutoka sehemu mbalimbali za Africa ila sema tu roots za Obama zikajizatiti Mashariki ya Africa.
Wadau viongozi wa chuo hawana mpango hata kidogo wa kusaidia watoto maskini wa kitanzania kuthibitisha hilo hebu visit hapa http//www.udsm.ac.tz alafu soma tangazo lenye kichwa hiki
PROCEDURES FOR REGISTRATION OF READMITTED STUDENTS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.