Kagame anasifa tuu, japo mafanikio yake ni madogo ila labda tuseme kwakuw ni wakimbizi toka ulaya, wingereza itawadumia kwa pesa zake na kila jambo litakuw chin ya uingereza hivo miundombinu ya makambi na nyumba zao haiyakuwa kinyonge sana.
Mfano ukisoma kidogo tu gogle maana sijawahi fika lilongwe.
Kwanza ina watu wengi kuliko mby, 9m wakat mby ni 6m.
Piah kwa haraka haraka kwenye picha inaonesha lilongwe ina majengo marefu mengi kuliko mby, na hii inatokana na kuwa n makao makuu ya serikari.
Hivo nazan labda lilongwe...
Habaria wanajamvi. Naamin wengi wetu ni wazima lakiin kwa wote wenyechangamoto asili ya dunia na iwape nafuu.
Huu ni uzi wa kutiana moyo, faraja na kupeana mawazo changa ili gurudumu la maisha yetu lisonge mbele, kama unavoweza kuona mvua ni nyingi na tope ni jingi muno.
Twende kwenye kichwa...
Watanzania tuna ujinga mtukufu, si unaona hata wew wajiita netanyau. Hapo hakun mtu atakueleza baya kuhusu israel ukamuelewa.
Anyway natak kusema, tuanze na sis wenyewe kujikosoa ndipo tukosoe wengine.
Hili bunge n matokeo ya usaliti na uninga wetu. Humu tunaponda tukifika vyumba vya kupiga...
Hahahaha watu kama hawa huwa wananikata stimu kinoma. Kun wenzako kama wew huwaga wanatoa maoni kama haya kwenye jumbe za matangazo ya radio DW swahili. Utasikia "naomba urusi isiue wasio na hatia" utazan hao urusi wanawasikiliza
Hawawezi, wew mtu anasubiria teuz na kusifia tu. Vijana wa hovyo n machawa kina babalevo nk, wazee wa hovyo utawasikia ahsante mama bila wew tusingepata pesa.
Nchi ina uchawa makanisani mpka misikitini, shulen , vyuon na kila mahala.
Kabla ya kusema kiswahili kifutwe, ilitakiwa maoni yasomeke kuwa. Wale waote wanaokuja kusoma kwetu wajifunze mwaka mmoja kiswahili au hata miwili. Mfano hao madaktari wakapangwa wafany kazi hapa tz na wakatupwa huko sonchombwate wataongea nin na wagonjwa???
Achen utumwa wa fikra mbona ukienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.