Hii pia kwa lahaja ya kimrima na Mtang'ta husemwa Mkyama ago kanyele hwenda akauya papo
Mchama ama Mkyama = ni muhamaji
Ago au huitwa Rago = ni sehemu watu huhamia kufuwata kazi kama vile zamani watu hufuwata kazi wakati wa msimu wa karafuu kule Pemba , sasa wanapohamia pale kukaa kwa ajili ya...
Watu wengine Bana ,
wengine hawakusoma lakini wako na uwezo wa kuongoza ndugu yangu .
kumbuka uongozi bora na utendaji si madigirii
kama ingekuwa ni hivyo zimbabwe baraza la mawaziri kjila mmoja wao anazo zisizopunguwa 4
na wanaoishi Uingereza kwa muda mrefu watakwambia John major na...
Hili ndio tatizo la watanzania , wanang'ang'ania huyu si Dr yule ndio Dr wakati kuna mambo ya maana mengi hawana habari nayo
Viongozi huzaliwa kiongozi sio madigirii . kaka
Huyu mama uchapakazi anao sasa nini unachokitaka ?
kikwete wanamuita Dr kwa lipi kwa digirii moja ya heshima sijui...
Viatu hivi unaweza ukavipata Tanga ( bara bara ya kumi ) karibu na msikiti wa ijumaa
mara ya mwisho pale Dar niliviona karibu na mtaa wa Aggrey lakini siku ni nyingi sana
jaribu kupata mtu wa Tanga ataweza kukutafutia (ni viatu vya mbao tupu na vinatumika kwendea ****** tu !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.