Inasikitisha Dr/Mtaalamu anapoongea kisiasa na kusahau kuwa kuna Dr's waliowahi kuwepo hapo yeye alipo Leo na hawezi kuwadanganya chochote kuhusu magonjwa na matibabu yake
Kweli kupenda ni chongo! Makonda ana makondakonda mengi mpaka Europa wamempiga marukufu kutia pua zake huko Leo wasema watu wanamchukia kwa majungu? You must be crazy.
Hao wanapofanya vetting Ni watanzania wazalendo au Ni wachumia tumbo? Haiwezekani kuwa mapandikizi wameingia bila kubebwa na wenyeji kwa malengo maalumu ya binafsi
Kuna wilaya moja IPO huko huko karibu na Kahama imeficha kabisa kuwa ina wagonjwa wa kipindupindu wakati ndugu yangu imebidi atoroke wadini baada ya kuona Hatari iliyopo mbele yake na Leo Ni zaidi ya wiki toka atoroke lakini hawajatangaza au mpaka sample zirudi zikiwa positive ndio watoe tahadhali?
Chooni wataenda na magunzi baadae sewage system itaziba na kuhitaji ukarabati mkubwa,
Kwanini serikali isipeleke maji mbona Hayati Magufuli aliweza kupeleka maji mbugani kuokoa viboko?
Kwa ushahidi alioutoa ACP Mgonja kama shahidi namba moja inaonyesha hakuna mahali kamtaja Dr kumchoma marehemu sindano ya sumu na hata majibu toka kwa mkemia wa serikali hayakuonyesha kuwa yale mabaki ya mbavu na funza kuwa na sumu wala Aina yoyote ya dawa ya usingizi na ukirejeaa maswali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.