dada una mtihani mkubwa sana, mume wako anataka afundishwe madhara ya kuingia kinyume kwa dini zote ulimwenguni zimekata mambo yaha, nenda kwa wakubwa wa dini yake wamusemeshe kwa polepole, ee mungu nsaidie dada yetu na mtulize huu shetani arudi awe mutu muzuri ameeeeeenn
ndugu usihangaike sana kutafuta njia ya kufanya uke mdogo, ndugu zetu SUDAN wanawake washonwa kidogo uke wao ili uwe tiat yote hii ni kwa ajili ya raha wa wanaume tuu.
kwa ukweli FGM ni kitu ambacho kibaya sana kwani unadhulumu mwana muke ktk mambo mingi sana, mimi najua wanawake wingi sana wametaharishwa na ktk hao utakuta zaidi ya 90% hawana raha ktk sex , na hii nikitu muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.