Huu ni uswahili na chuki za kinafki kaka, ukumbuke Chadema ilipotokea, vuta kumbukumbu usiwe unaropoka tu mkuu, ni huyu huyu Zitto Kabwe ndio aliyeanza kutufungua sis masikio mpaka leo hii Chadema imefikia hatua hii, Fikiri kabla ya kuropoka.
Nashukuru saana kaka, kwani nimefaidika ni mimi nilikuwa naandaa proposal, japokuwa sikuwa nimeomba, ila imenisaidia, na inaonyesha ni rahisi mnooo, Daah, ahasante sana kaka.
Ni kweli kaka Kilema, tena matapeli wakubwa, ukimwomba picha anakutumia unamwona very sex and beaitiful woman, then ndio nakuja na hizo gea kwamba anaishi camp kwa Pastor, miye yamenikuta ila nikashtuka katikati, ukitaka kuamini mwombe tu picha yake then utaona alivyo mrembo kuliko yeyote hapa...
Huwezi kujua huyo mwanamke ni mzuri kiasi gani, anavutia kiasi gani, kiasi cha kuona wivu akireact kwa ukali zaidi huenda akamkosa.
Pia huweziu kujua anampenda sana kiasi gani huyo mwanamke.
We unajua kuna wanawake wengine ukimwangalia tu, yaani daaah,
Ila hata mkibadilisha majina of course ni walewale tu, na hata hizo order nyingi zinaanzia hukoo, then huku kwetu tunafuata mkumbo, ila ni hatari nyumba za ibada hufikia hii hatua, aisee hatari saana.
Jamani kama huna cha kuandika si bora usome tu habari, Hizo nafasi za BOT ni za tokea mwezi wa sita. ukiongeza wiki 2 za kuexpire ni imeshapita, sasa wewe unaweka leo hapa watu wafanyeje?
Be serious
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.