Wakuu michango yenu mizuri sana, naomba tuwe tunatoa ufafanuzi japo kiduchu kuhusiana na magari tunayotaja kwani si wote wanautaalamu wa magari hasa mimi. Asante !
Wakuu naomba ushauri juu ya gari zuri la familia linaloweza milikiwa na mtu wa kipato cha chini. Liwe na uwezo wa kubeba watu 5. Gharama yake isizidi milioni 14. Picha zitasaidia zaidi.
Wakuu heshima kwenu.
Nimezichanga nataka kununua smart phone, hivyo nahitaji ushauri wa uchambuzi yakinifu ni smart phone ipi nzuri kati ya lumia 1520, lumia 930 na Lg g pro 2 ? Au waweza nipa ushauri kwa simu nyingine .
Habari wakuu?
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa, hivi nini chanzo cha mtu mzima kutafuna ulimi kama atafunavyo jojo ? Maana kuna jamaa yangu wa karibu sana huwa namuona akifanya hivyo hasa anapokuwa peke yake.
Karibuni wataalamu wa afya na saikolojia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.