Wakuu, habari ya mei mosi?
Naomba msaada kama kuna mtu alishawahi kununua gari kutoka kwa hawa jamaa wanaitwa enhance auto: Japanese Used Cars Exporter Enhance Auto
Kuna gari nimeliona kwao nataka nilifatilie sasa nisije nikalizwa bila kuuliza.
Ahsanteni kwa msaada
Hi wana-JF
Nahitaji gari, Toyota Vitz yenye specifications zifuatazo:
5 doors
Automatic Transmission
Less than 80,000km
Should be in mint condition
Color: Silver or Black
Offer: TZS: 5,000,000
Mwenye nayo ani-PM au call 0767535989.
Thanks
Hatuwezi kuona faida ya wasomi kama serikali itaendelea kudhibiti uhuru na uwezo wa wasomi kutumia akili zao. Jiulize:
1. Ni fedha kiasi gani za research zinatengwa serikalini?
2. Ni research findings na reccomendations ngapi zinachukuliwa serious na kuwa funded na serikali?
3. Kwa nini wakuu...
Acha hizo. Hiyo ni kawaida. Mi mwenyewe nasukuma zote mannual na automatic na nikiingia auto kushoto breki kulia mafuta. It plays so well. Haya mambo ua hamisha hamisha mi siyawezi
Hi wana JF
Nahitaji mtaalam au kampuni ya kudesign na kutengeneza cabinets za jikoni. Awe ana kazi halisi alizowahi kufanya, au samples kwny duka/workshop/show room yake. Kama ana picha, basi ziwe halisi alizopiga mwenyewe na si za magazetini. If you know one, please nijulishe. Namba yangu ni...
Inahitajika Toyota Noah 2003 model
Color: Iwe Silver
Mileage: Isizidi 120,000
Gari liwe katika hali nzuri
Budget: 10-11 million TZS
Kama unayo ni-PM tufanye biashara. Simu 0767000641
Hi JF members!
My friend who is an international recruiter has asked my reccomendations for below job opporturnities. You can contact me (through PM) if you want personal reccomendations or e mail your CV directly to molly.abbott@rescue.org
Project Director...
Ahsante sana wote ambao mmesoma uzi wangu na wengine tumeshaanza kuwasiliana ili kukamilisha biashara. Thanks JF for this platform. Ahsante mkuu snotchet, ila kwa sababu nipo Dar itakuwa vigumu kumchukua Arusha, so ningependelea nipate wa hapa hapa dar. I hope nitaweza kumpata through this forum
Hello wadau.
Anahitajika mbwa aliyekuwa trained vizuri. Nitafurahi kama nitampata na aliyemtrain kwa ajili ya kumzoesha kwangu pindi nikimnunua. Kama unaye, au unajua wanapopatikana, please let me know. Haijalishi ni aina gani, la muhimu awe trained vizuri. PM me au reply kwenye thread ni jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.