Kinachotakiwa wamuandikie barua waziri mwenye dhamana au Waziri Mkuu wamuombe atume vyombo vya dola Kama PCCB na pia kutumia wataalam Kama NBAA na kamati maalumu ili wachunguze na kuja na report maalumu na mapendekezo kwa Waziri.
Kumbuka Rais alianzisha time ya kufuatulia Mali za BAKWATA...
Ee Mungu uturehemu. Kuna haja ya kuacha kupanic na kutuliza akili tujipange upya.
At any one standard hivi vifaa vilitakiwa kupelekea sehemu moja au at most mbili ili impact ionekane wakati tunajipanga kwa sehemu zingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kupanga timeline events kama zile ziliziyojea kabla ya Vita ya kwanza ya dunia
Mpaka sasa nina matukio mfungano manne
1. Kutokea kwa homa ya mapafu na kusambaa kwa kasi
2. Corona yatangazwa kuwa Janga la Dunia
3. Watu waamriwa kukaa ndani ndo mtindo wa nchi nyingi duniani
Biashara...
Hawa WHO nao wamepanic. Ina maana hawajui hizo hesabu ni unrelated. Kwani kujua impact ya ongezeko inabidi utumie same scenario same sample size same population
Polisi wanakuwa na option nyingi za kuhamia Jambazi hana. wakienda kwenye angle ambayo hajui wao wanajua yeye yupo pale plae. Pia Jambazi hajui polisi wameongezeka kiasi gani kiasi kwamba hata kama akiua wangapi uwezekano wa yeye kutondoka akiwa hai ndani ya kichwa chake haupo. Polisi wanaweza...
sometime kukamilisha fomalities, sometime wanamaanisha. Mfano jaribu kuuliza minada yao ya magari, most case wanauziana wao kwa wao ila wanatangaza minada, why? ku-comply na policies na matakwa ya wafadhili na audit requirement. but at the end wanafanya tofauti. Ila documentation zao...
Red cross ni wababe na wamafia kama hujui. wanatangaza credential kuubwaa halafu wanaleta watu ambao hata kwenye interview wanaweza wasiitwe na very low qualified. Istoshe ukienda kinyume na matakwa ya wakubwa at any time unapigwa chini
Nimeshangaa sana kuona makombora ya Iran yamewezaje kupenya defence system za Marekani haijalishi hayajaua mtu lakini kitendo cha kupenya defence system kimewashangaza sana hata wao wenyewe
Nimepima kuona kama nina maambukizi ya VVU. mara ya mwisho nimepima mwaka 2000. Nimekuwa na shauku ya kupima tangu 2012 lakini naogopa. Mwaka huu nimejilipua hospitali mbili tofauti one day. nimeanzia mwanayamara nikapewa majibu nikaenda mnazi mmoja same day. Wakati nipo Mwananyamara...
Wajerumani waliweka mazindiko mabaya sana kwenye migodi yao yote. ukitaka kufa nenda kichwa kichwa kwenye migodi iliyoachwa na wajerumani.
kuna manahala walikuja wakakuta mahali ulipo mgodi kumebadilishwa kuwa eneo maalum la nchi. wakashindwa kuingia ikabidi wamshirikishe jamaa mmojawapo wa...
Wataalamu wa sheria tunaomba uchambuzi wa kina tujue hii kitu na uhalisia wake katika kutekelezeka
===
PROTOCOL TO THE AFRICAN CHARTER ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS ON THE ESTABLISHMENTOF AN AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES' RIGHTS
The Member States of the Organization of African Unity...
sikutaka kureply lakini nimeshindwa kuvumilia. ukidhania yeye anakula na wewe ndo ule huo ni ujinga. wao wanaanza kwa kumeza disinfectant kwa hiyo hata akila hapati madhala. Kuna jamaa aliibiwa pikipiki yangu . jamaa alipuliza kemikali chumbani akaingia na yule dereva boda boda amlipe akamwambia...
Vitu vinginge ni Ujinga tu. kwa nini tusiifungulie serikali ya Canada mashtaka elsewhere. wewe nimekupa hela nitengenezee ndege.. Haya kabla hajunikabidhi hiyo ndege unawezaje kusema ndege yangu? na makabidhiano lazima yawe kwenye uwanja wangu wa ndege nyumbani. hivi wanashindwa kuingiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.