Tafadhari nauza kuku wa kienyeji kwa jumla,wana kilo, 1.2, kg 1.3kg,1.4 au zaidi kg.naweza supply hata zaidi ya 700. per wiki. mie nipo morogoro vijijini karibu na dakawa. bei ni kuanzia 12,13,14.baada ya wiki nasupply kwani nipo vijijini. nataka kuwauza hawa nifuge chotara.anayetaka call me...
Ndugu wasomaji, natafuta ng'ombe wa maziwa mwenye uwezo wa kutoa lita kuanzia 21 na zaidi kwa siku, awe wa uzao wa pili na na ana mimba ya 8months au zaidi. sema na bei. sihitaji dalali. Samahani kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata, naomba anisadie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.