Leo majira ya 13:30 Kwa muda wa huku kwetu, vilabu vya Ligi Kuu ya uingereza vinatarajia kufanya kikao kingne kwa njia ya video.
Huu ni mwendelezo wa vikao vngne ambavyo vimefanyika huko nyuma.
Miongoni mwa vitu vitakavyo jadiliwa ni pamoja na namna ya kuumaliza msimu wa ligi wa mwaka...
Nataka kujua utachukua muda gan Kwa mtoto kuanza kucheza tumboni.
Maana kuna mwanamke hapa inaenda wik ya 20 ya ujauzito lakn bado Hakuna movement yoyote.
Ushauri unahtajka tafadhar na km kuna Tatzo pia mseme.
Natanguriza shukrani.
Nipo dar kwa sasa, nina hitaji solar panel pamoja na power bank kwa ajiri ya matumizi ya nyumbani.
Km kuna mtu anaweza kusaidia upatikanaji wake tafadhari naomba msaada.
Nipo vijijini huku na hakuna umeme ila nafikiria ni jinsi gani naweza pata umeme kwa kutumia hii diesel engine ya mashine ya kusagia.
naomba msaada kwa anaefahamu.
Kwa sasa nipo Tarime, nahitaji Solar Panel kwa ajili ya matumizi ya kawaida kama lighting, radio, na ku charge simu.
Naomba kwa wauzaji wa Mwanza, hii ni fursa kwani kuna demand kubwa sana.
Takribani wanafunzi watano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam wamepoteza maisha katika ajali iliyotekea jana.
Wanafunzi hao walikuwa wakirejea chuo baada ya likizo kuisha.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amen!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.