Watu wakuda sana. Na hawajalazimishwa kusoma huu uzi ila wanakazana kuleta mihemuko. Mtu akiona huu uzi hauelewi apite kushoto sio kuleta makasiriko ya kingese hapa.
Umeanza vizur lkn naona km una haribu ss.
Acha kutuchafua watu wa kutoka Mara. Mara kuna makabila mengi ebu kuwa specific ni watu gan wanafny ivo. Usipende kutumia generalization
Ni kweli mkuu. Mi kuna mwanamke alitaka kuniambukiza ngoma bila mm kujua aisee. Alikua ameshaungua. Nilipiga mzigo baada ya siku mbili naambiwa ana ngoma kla nikimtafuta akawa ananichenga akiamini tayar kashaniambukiza tayari.
Aisee nilikosa raha ata pep sikutumia nlikua najua tayar nmeupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.