Habari zenu? Naomba kupewa makadilio ya kupaka rangi conmix kwa nyumba yenye vyumba vitatu, store, jiko, sebule na dining. Makadilio tu ili niweze kujua najipanga kuanzia wapi. Nyumba ilishapakwa rangi ya kawaida kabla ila imechakaa inahitaji kubadirishwa.
Asante.
Habari zenu,
Ninauza mayai ya kuku chotara. Bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tu.Ninapatikana Mbezi ya Kimara.
Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa Dar es salaam ninaomba anijuze.
Karibuni sana.
Habari zenu ninauza mayai ya kuku chotara bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tuna patikana Mbezi ya Kimara.
Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa Dar es salaam ninaomba anijuze.
Karibuni sana.
Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
Habari za kazi!
Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni.
Shukrani.
Habari zenu?
Mimi nimfugaji wa kuku chotara lengo ilikua ni kwaajili ya biashara ya mayai lakini baada ya kuletewa vifaranga nikakuza na majogoo ambayo kwasasa nimeamua kuyauza. Wapi nnaweza kupata soko nikauza majogoo, yana miezi 6.
Naomba msaada wenu, kila nikijaribu kuinstall itunes kwenye laptop inagoma, nikiinstall inaendaa ikifika sehemu inaanza kurudi nyuma ( roll back) then inaishia hapo, nimejaribu version tofauti ila bado , naomba msaada jinsi ya kufanikisha ni' install
Msaada jinsi ya kuactivate lg g4, nikiwasha inanipa option ya kuselect language, nikishaselect language inanipa option ya kuset internet connections ambayo nikiselect chochote kile inanipeleka kwenye configuring your phone kwa muda mrefuuuuu mpaka charge inaisha, tatizo ni nini na jinsi ya...
Nnaplan ya kwenda swimming sehemu nzuriiiii kama ramada au ledger plaza au double tree sitaki coco nilizozoea nikabarizi na mdada flani hivi ila sitaki nifike pale nitoe macho kiingilio, kwani shilingi ngapi etii !
Kuna kitu nimewahi nunua ila sijakipata tena wala kujua nitapata wapi. Wengine wanaita ubuyu wa embe, wengine achari ila ni kama maembe yakatwe kidogodogo yakaushwe na kuwekwa viungo na rangi kama ubuyu. Napenda sana ila sijui jinsi ya kutengeneza, msaada tafadhali kwa aliyenielewa.
Habari zenu! Laptop yangu ina tatizo lilikuja siku ambayo nilikua nina surf kwa kutumia chrome huku nikidownload moviea kwakutumia bittorrent ghafla nikanotice application mpya ambayo imeshajiinstall baada yakiona icon yake kwenye desktop, application hiyo inamaandishi ya kichina hivyo...
mabox 5 ya toner/cartridges ya hp 53a yanauzwa kwa shilingi 110, 000 kila moja na moja Canon kwa photocopy machine kwa 55, 000 shilingi. mwenye nia naomba ani pm
Jamaa zangu nina safari ya kikazi ila sina idea na bei kwani ni mara ya kwanza, naomba mwenye kujua bei ya hotels Zanzibar-pande za Unguja anijuze.
Nataka hotel zenye hali ya kati yaani sio zile za kifahari wala sio zile ambazo huduma nyingine nitakosa. Mfano wa mandhari ni kama hotel ambazo...
kila siku natamani kwenda hii sehemu naiaikia
saana, mwisho wa mwezi huu Mshahara
ukitoka nataka nizame huko, naomba mwenye
kujua napanda gari za wapi nashuka wapi, jinsi
ya kufika naomba kujuzwa. I submit
kila siku natamani kwenda hii sehemu naiaikia saana, mwisho wa mwezi huu Mshahara ukitoka nataka nizame huko, naomba mwenye kujua napanda gari za wapi nashuka wapi, jinsi ya kufika naomba kujuzwa. I submit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.