Wakuu, salaamu.
Kwa wale waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2017/2018 katika shule ya sekondari Bukongo iliyopo wilayani ukerewe, chukueni joining instruction letter hapa...
Mcheki msanii Said Timbulo maarufu kama Timbulo, hitmaker wa mawe makali kama Domo langu zito, Wa leo wa kesho (sampled from X-Melea), Bado kijana, Samson na Delilah, Imekatika (ft. X-malea), Niende zangu (ft. Rich mavoko), Nakumiss pamoja na zingine ni lizosahau.
Kumbe tunatoka mbali.
Kwenye...
Ridiculous!
I don't see any point here, just personal hatred!
Hivi unajua wakuu wa shule wanavyoendesha shule kwa tabu siku hizi?
Kama una ushahidi wa hayo, kwanini usipeleke mahakamani? Au umemwona ndalichako ni mtu wa kufanyia kazi uzushi wa mitandaoni?
Poor mind
Mmepandisha riba ya mkopo (personal loan) kutoka asilimia 18 mpaka asilimia 20?
Maana leo nimeamkia nmb tawi fulani huku kanda ya ziwa na nilivyofika loan officer akaniomba salary slip na alivyocheck eligibility yangu akasema ninaweza kukopa million 10 plus kwa miezi 60 Nikamwambia mimi nataka...
Nimepita wiki iliyopita maeneo ya kisesa kuelekea kona ya fella. Nilikuta mitambo ya nyanza roads ipo barabarani. Nadhani wanataka ku 'resume' ujenzi wa barabara uliosimama kwa takribani mwaka mmoja sasa
Mkuu wa wilaya ya Ukerewe, Joseph Mkirikiti, alisema baada ya halmashauri hiyo kufanya uhakiki wa watumishi hewa kuanzia Machi 19 hadi Machi 25, mwaka huu, walibaini madudu hayo.
Mkirikiti alisema watumishi ‘hewa’ hao walikuwa wakilipwa mishahara kupitia akaunti zao, lakini hatua zimechukuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.