Nahitaji mwanadada mtu mzima, anayejielewa na si msichana,wa kufanya usafi nyumbani, mara mbili kwa juma, kufua, kupiga pasi, kufanya usafi wa jumla wa nyumba, haswa ndani na kuosha vyombo....GOBA....@senior bachelor.
Wandugu
Hili janga ni kubwa sana kwangu, nimekuwa na kawaida ya kununua mahitaji yote ya nyumbani kama baba na kiongozi wa familia kuna kipindi kulitokea mtafaruku kisa kikiwa shemeji zangu wamejaa kwangu, nikatangaza la mgambo sitaki cha shemeji wa wala wifi kwangu......wote wakatawanyika.
Bi...
>Waungwana naamini woote mu salama.
Kuna katabia ka jamaa fulani wa TRA (kwa anavyojitangaza) kanachefua, huyu jamaa anapendelea sana bar sinza.. Kozi namfahamu na nilisha sikia tabia yake, leo namleta kwa wanajamii wenzangu tuangalie namna ya kumkomesha hii tabia.
Kwa kifupi huwa anatabia ya...
Wana JF,
Natumai vyema mko...
Kuna uzi nilirusha kama wiki 2 zilizopita, sasa huu ni muondelezo, na ndo maana nimeuita phase 2...
Hapa ndo nimetoka maeneo ya mikocheni,,, jamaa mkewe alimvizia jana akiwa mtungi akampiga na chupa kwenye utosi, he lost damu nyingi, na fahamu zimemrudia muda si...
Wana Jamii wenzangu nina hakika mko poa j3 ya leo.
Wakati natoka home this morning, friend of mine alinipigia akaniomba anipitie ofcn, kuna ushauri alikuwa anataka.
He come,
Alichoniambia na kuomba ushauri ni hiki..... jamaa ana mke na watoto pia,,, bu anasema this day hana HISIA zozote na...
Bandugu nna hakika mko poa sana,, pamoja na majanga ya kitaifa yanayotupata... maisha lazima yasonge..
Naomba tusaidiane hii kitu:
Jamaa alikuwa anasafiri,, wakati anapack, mahabuba wake (mkewe) akaja na bashasha kibao za kimahaba,, akamwambia.. mpenzi najua unasafiri... wiki 2 sio chache...
Bandugu nna hakika woote mko mswano.... Hebu naomba tumsaidie huyu ndugu yetu...
Juzi j2 jioni, kama kawa.. tulikuwa tunaharibu kipato..baridi 1 moto moja... kuna rafiki yangu mmoja alijumuika nasi ni mchangamfu mcheshi,,, story zikachanganya pale huku jamaa alikuwa bizee kuchat kwa sana...
Ni eneo zuri linalofikika kwa urahisi sana, baada ya kuvuka daraja linalotenganisha DSM na Coast region,,mkono wa kushoto kutokea dar,,,, MINGOI rd, kama mita 600 frm the main rd.......piga namba hii 0754 427 819.... karibuni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.