misaada ndio imetulemaza WaAfrika, kama serikali zinapewa misaada but wanainji tuko maskini,,,,sisi maskini tunasaidianaje??? hii waafrika hatuwezi....kuwa mkatili tuu kama lile chezaji staafu la cameroon...
Kama ni kweli,,, wewe ndie pumbavu......jino kwa jino........yaani ungempongeza kaka yako vema tuu.... then unaanzisha communication na sheitwan bin haribu......unahakikisha unamla yeye POPO........kimyaaaaa.... ubaya ubaya hii dunia.....unakimbia mkeo anaendelea kudukuliwa kindezi ndezi kisa...
wakati mnalalamika yanga kaonewa....mamelod wamesonga, na ile tuu kufika nusu finale kuna mshiko mnono.... dunia ndivyo ilivyo....so mtaji wa 40sauzandi now ana 150m.....wacha tupige kellele ila matokeo ndio hayo.....Niffer kongole kwako.....maisha ni mbinu tuu......ukifuata mstari utafutika...
hivi miliono 100 mnaichukuliaje......mnazungumzia faida au mauzo??....kama ni kweli TANZANIA ingekuwa na Mabilionea wengi sana..... ni kweli Kariakoo kuna mzunguko mkubwa wa fedha (biashara) but 100m, usijidanganye ukajichanganye pale.....
mbeya usijaribu kabisa, inakula kwako. Nje ya DSM may be Arusha..... kama anapendelea biashara ya chakula anaweza kupitia kwa wabobezi......ambao watakusaidia kuangalia eneo na kukushauri nini cha kufanya.....ndio kazi yao so it cost pia.....na watakusimamia kwa mwezi 1-3....itatagemea na...
umri wako bro?...... bank teller ni kazi ya wanawake.....mtanisamehe ila ukweli mchungu... so jibu hilo utapata dyudu tuuu........lecturer may be...... but......
wewe unaweza kuhimili, je na mwenzio??..uwe mpole tuu.....huko uliko vuta kichongeo, chonga kama kawa......na huku kichongeo chako wacha kichonge tuu.......uwe mpole...... hiyo kitu ngumu sana.......sababu unapambania familia ..pambana tuu...
kwanza urafiki na mtoto wa kike unaanzia wapi? kisa kusoma nae au??? eti una uchungu!!!! kunywa siki utaisha.....mwanamke hasaidiwi ANAPEWA..... ukiweza kusababisha na wewe AKAKUPA..... deal closed.
kwa hiyo kaachana na mmewe akawe MCHUNGAJI? kwani mmewe amemzuia? ila ni MREMBO yule dada....jamaa sijui kaharibu nini pale.....au kakutana na muchungaji enzake.....??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.