Suala la nani achinje nyama limeibua vita kali kati ya wakristo na waislamu wilayani Chato mkoa wa Geita. Vyanzo vyetu vinatuambia mtu mmoja ameshafariki.
Source: Mwananchi online breaking news at
Waislamu, wakristo wachinjana Geita - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Pole sana mkuu. Kwa kweli Agakhan si ya kuaminika kabisa. Karibuni tu rafiki yangu kaenda kufanyiwa operation ya mguu, amekwenda kwa miguu yake, wakamkosea kwenye operation na imebidi mguu ukatwe baada ya kuharibika. Sasa ni mlemavu wa maisha.
Kizitto Noya, Dodoma
KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema licha ya kurejesha kwa hiari gari alilopewa na serikali ataendelea kuchukua posho za ubunge nyinginezo anazopewa kutokana na nafasi hiyo ya uongozi.
Mbowe alisema hayo jana wakati alipotakiwa kujibu hoja...
CDM kama chama wameipendekeza hoja hii kwenye bajeti, kwa hiyo ZITTO ametekeleza pendekezo la chama chake ''ie hana makosa kwa chama, pia amejijenga kisiasa. Ikiwa hoja ya CDM ya kufuta posho ililenga kwa dhati kuleta maendeleo kwa wananchi, hawana budi kumuunga mkono ZITTO, na hilo...
Dr. Slaa alikuwa mbunge pekee aliepinga wabunge kupewa maslahi makubwa. Kuna taarifa (Gazeti la Mwananchi 04th May 2011) kwamba CDM kimeidhinisha SLAA kulipwa mshahara na marupurupu kama mbunge!! Jee hii habari ni kweli? Kama ni kweli jee haoni kuwa hakusimama kwenye maneno yake?!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.