Kinachonisikitisha sana ni kuwa waTZ huishia kuongea na kujadili tu lakini action na uwajibikaji hakuna.
Kuna mtu mkubwa tu mwenye wadhifa kiuongozi aliwahi kuniambia tunakoelekea tutadai uhuru upya. Safari hii ni kutoka kwa weusi wenzetu na itakuwa kwa kutumia nguvu ya umma.
Huu usemi wa...
Huu uzi unaelekea kusikojulikana.
Ninaamini Mungu anaishi na ndiye muweza wa yote.
Naamini kuwa Mungu wangu yuko katika nafsi tatu - Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Na hizi ni nafsi tatu, Mungu mmoja.
Naamini kuwa Yesu ndiye Mungu wangu na ndiye mwenye mamlaka Mbinguni na duniani. Tena...
The concept that makes Mary (formerly Virgin Mary) a mother of God needs great minds of believers to understand. For a stupid thinker, it means Jesus never existed until when Mary gave birth to HIM. Very wrong. Jesus existed before any creature. Before anything. It's correct to call Mary a...
So you do read the bible? What are you looking for in the book composed of knowledge about what you do not believe in? Is not a character of someone stupid?
Are you not guilty of pretending?
What about the United States or the UAE? Are they poor? Do they believe God exists? Not poor and the believe. So being poor has ni connection with believing in God.
Does it concern you if Saudi Women are not allowed to drive? Is that your business in the first place?
You are just losing...
Tofautisha kusoma na kuelimika. Wapo waliopata div I nzuri form 4, I nzuri form 6 na GPA nzuri chuo ila hakuna kitu wanapiga lecture na kusubiri migomo ya mishahara tu. Ni zaidi ya elimu darasa ndugu.
Ila, una point katika andiko lako.
Mnaonaje, sina nia ya kuleta habari za ukanda, lakini wabunge wa Kigoma ni kama wakali flani hivi; angalia Zitto, angalia Machali, Kafulila. Amani Kabouru sijui alipotelea wapi. Ni kamtazamo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.