Hata mimi nimeshangaa kweli. Huku kwetu mngeta tangu jana askari wa JKT kambi ya Chita wanapambana na wananchi kugombea adhi. Inasemekana kuwa kuna watu wameuawa na wakuu wa majeshi na mawaziri wameenda huko leo asubuhi, lakini inaonekana sio story ya maana
endelea na msimamo huo ndugu ni mzuri sana. Ila baadae usirudi tena hapa kuomba ushauri baada ya kushindwa kwenda kwa ndugu zako kuomba msaada kwa kuwa uliwanyima slot katika familia yako
Hongera kwa kuthubutu na kuwa na malengo mazuri. Lakini unahitaji kujipanga zaidi, maana hapo ndio kwanza kazi imeanza. Kwenye kazi ya kujenga nyumba ya kuishi gharama kubwa iko mwishoni (finishing). Ingekuwa unajenga banda la kufugia, hapo ungeweza kusema umefikia mwisho. Kaza buti mjomba...
Hii solution umefanya reference kwenye kitabu gani au kesi gani. Hakuna mtu duniani anayezuiwa kulea mtoto wake. huo ni ukiukaji wahaki za binadamu. baba anatakiwa kisheria kutoa matunzo kwa mtoto wake aliyesababisha atokee duniani.
Kwanza pole sana mdada kwa maumivu uliyoyapata.
kwa mtazamo wangu, maamuzi yako ni ya msingi kwa sababu wewe ndiye unayejua ugumu wa maisha unaokuja iwapo utaendelea na hiyo ndoa. lakini pia huyo baba ameonesha kuwa alikuoa kwa bahati mbaya ndio maana alipomuona mdogo wako akaamua kukuzunguka...
Hao walioiba computer moja nadhani wamejisumbua tu. Maana kwa utaratibu wa hiyo system huwa wanapeleka backup hazina. Kwahiyo alichotaka kisijulikane kitakuwa hazina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.