Salaam great thinkers
Talaka zimekuwa gumzo/talk of town.
Kwa mtazamo wako, unahisi nini kinapelekea, watu waliopendana, wakaoana kwa hiari/utashi wao bila shuruti, wakaishi na kupata watoto, wanaamua kuachana kila mtu ashike hamsini zake?.
Sitaki kuhukumu, naamini kila mtu ana sababu muhimu...
Salaam kwenu wanaume/vichwa vya familia.
Baada ya kukusanya maoni yenu nini hampendi toka wa wenza wenu (wake, girlfriends, michepuko etc.), nimecompile points za mheshimiwa Emiir kama zinavyoonekana hapo chini, nitaongezxa chache tu ambazo yeye hakuzianisha ila zimezungumziwa tena kwa hisia...
Heshima kwenu wanaume
Najaribu kutafuta busara za kiume, ni tabia gani ambayo ni kero na imekuwa sugu kutoka kwa wake zenu/marafiki wa kike, hata michepuko kama ipo?
Tukizingatia kwamba, hakuna mwanadamu mkamilifu, ila kuna tabia ambazo ni kero zonazopelekea kuachana.
Kama mwanaume, naomba...
Habari zenu wandugu.
African Business Education Initiative for Youth (ABE Initiative) 2018 Master’s Degree & Internship Program for Africans (Fully Funded to Japan)...
KAMPENI KWA NJIA YA VYOMBO VYA HABARI, JUU YA KAZI ZENYE STAHA KWA WAFANYAKAZI WA MAJUMBANI, mnakaribishwa wote mnazi mmoja.
Wamama wote wenye manyanyaso kwa wafanyakazi wenu wa ndani, mnatunga sheria ambazo hata katika ulimwengu wa roho hazipo, mnapiga mara nyingine hata kuwajeruhi wasaidizi...
Mchangiaji wa kike/Kiume: Tupe experience yako kwenye mambo ya 6x6, ni mambo gani usipofanyiwa na mume wako yanaweza kukutoa nje.
Baadae tutarudi kwenye uzi wa Lara 1.
Wasalaam
Carol.
Wapendwa wana JE SACCOS,
Naendelea na mchakato wa kulipa fedha za michango ya wana JE SACCOS. Tafadhali kama wewe ni mmoja wao uliyetoa michango kupitia kwangu tafadhali naomba jitokeze niweze kufanya mchakato wa kukutumia hela yako. Nina watu 3 nashindwa kuwatafuta kwa majina yao halisi...
Asalaam aleykum, bwana Yesu asifiwe wapendwa wa JF
Tafadhali anayefahamu yule daktari wa ngozi aliyekuwa pale Luther House alihamia wapi anijuze jamani. Mwanangu ana tatizo la ngozi.
Nitashukuru kwa msaada.
CD
UNITED NATIONS RELIEF AND WORKS AGENCY FOR PALESTINE REFUGEES IN THE NEAR EAST UNRWA UNRWA is a United Nations agency established by the General Assembly in 1949 and is mandated to provide assistance and protection to a population of some 5 million registered Palestine refugees. Its...
THE OFFICE OF THE WHO REPRESENTATIVE IN TANZANIA ANNOUNCES THE FOLLOWING VACANCY.
The Mission of WHO is the attainment by all people of the highest possible level of health
POSITION: Human Resources Assistant
DUTY STATION: Dar es Salaam
Under...
The British High Commission has a six-month voluntary internship opportunity in its Trade and Investment Department (UKTI) beginning 01 November 2012.
The successful candidate will be part of the local UK Trade and Investment (UKTI) team. S/he will be expected to support UK-Tanzania trade...
Vacancy Bulletin
Intranet home | Main Page | About and Help
Vacancy Bulletin
Apply Online .
When applying, staff members are requested to indicate on their application whether they are currently occupying an abolished post
and/or have received advance notice of abolition of their post.
Post...
Keeping Strife AwayGalatians 5:1415 says, The entire law is summed up in a single command: Love your neighbor as yourself. If you keep on biting and devouring each other, watch out or you will be destroyed by each other.Strife can tear relationships apart. It amazes me at how many Scriptures...
3 Powerful Truths to Help Your MarriageYou know the saying, Marriages are made in Heaven, but they sure take a lot of maintenance on earth!Thats the truth!Great marriages take work and its worth the work!Many times people go from relationship to another seeking the perfect relationship. They...
Wapendwa wana JF Morogoro
Salaam, niko mji kasoro bahari mpaka J2 mchana. Napenda kukutana na members wote watakokuwa tayari.
Kama hauko Morogoro haikuhusu.
Natanguliza shukurani.
Wasalaam
Caroline.
Wana JF salaam.
Mimi ni mjasiriamali, nimebobea kwenye ushonaji wa nguo aina zote. Nataka kuongeza masoko yangu, mwenye infuluence kwenye Tenda za ushonaji uniforms za shule, Hospitali, Hotel na nyinginezo naomba anipe contact za watu wenye interest nikaongeze masoko. Samples kwa anayetaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.