Mtapata shida sana wenye mahaba na ccm, fungua mashitaka akamatwe na afungwe ufurahi. Harafu hizi sheria za uchochezi pendekezeni marekebisho wawe wananyongwa wanao pinga mahaba yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn hawa watu walikuwa wakitamba na kumtukana Rais waziwazi na kumtishia waziwazi, walisababisha mauaji na kumwagiwa tindikali watu wasio na hatia mapadri hata watu waliojitolea kuja kusaidia watu wa znz.
Ni uislam gani una sapoti hayo? Nimemsikiliza Shehe ameeleza vizuri tu wewe ndiwe unaleta...
Umelipwa makinikia? Kikao cha pamoja kiko wapi na wanaume wa acacia? Tujaribu na kudodosa huku pia juhudi nzuri ee haya
Sent from my ALE-UL00 using JamiiForums mobile app
Hee Mzee unatia aibu, nilikushangaa siku ile uliyojitokeza kumshambulia EL ukiwa mamluki wa CCM. Lkn leo nimekushangaa tena kuzungumza jambo unalolijua na unauzoefu nalo tena sana kinyume na ukwwli wake.
EL alipokelewa ukiwapo na wewe, hukupinga, mkakaa kumthibitisha hukupinga, akatangazwa...
Swali lako sijalielewa vizuri, tunaishi kwa sababu tulijikuta tumezaliwa watu. Hakuna aliyechagua kuzaliwa. Kuishi ni lazima, na masumbufu ya maisha ni mhimu ili uweze kuishi na hili waweza kuchagua sasa, ukiamua kutotafuta utakufa njaa na mwisho ukaishia hapo, lkn ni vema unaowazaa ambao hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.