Habarin wana jukwaa kwa siku za hivi karibuni nmekua ninapo fanya mapenzi kwa kutumia staili ya kuinama baada ya dakika kadhaa ninakua ninatoa sauti kama nnajamba lakini sijambi hii inapelekea mume wangu kubadilisha staili maana inakua kero ndani.
Je, nini ni fanye ili nikiitumia staili hiyo...
Ndugu,
Mimi ni kijana wa Kitanzania na mwenzenu humu kwa miaka mingi kidogo nina masters ya Education Management and Admistration natafuta kazi wakuu associated na fani yangu husika hasa katika maswala ya utawala, rasilimali watu na mipango kama kuna mkuu yeyote yupo sehemu wanauhitaji huu au...
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae ame aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri kwa yeyote anae faham asisite...
kama kichwa kinavojieleza nina ndugu ambae ame aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri pia kwa yeyote ajuaye kuhusu hiyo kozi...
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae anahitaji ku aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.