Search results

  1. Kichankuli

    Watangazaji wetu na weledi wao!

    Walikupotosha, neno ni hilo hilo moja to la "ndiyo" ila muktadha wa matumizi yake ndyo unaoongoza namna ya kulitamka ili litoe maana inayokidhi muktadha husika. Nikupe mfano mwingine wa neno moja ambalo linaweza kumaanisha mambo mawili tofauti, neno hilo ni "barabara", kuna wakati linaweza...
  2. Kichankuli

    Watangazaji wetu na weledi wao!

    ndiyo siyo ndio
  3. Kichankuli

    Watangazaji wetu na weledi wao!

    Clouds kuna mtangazaji amekuwa akilitumia neno "Aghalabu" kumaanisha "mara chache" badala ya neno "nadra". Lakini kuna huu ugonjwa wa kuweka herufi "r" mahala pa "l", sasa kuna mmoja alitamka "malazi" akimaanisha "maradhi". Kibaya zaidi kuna ugonjwa mwingine ambao huu hauko kwa watangazaji tu...
  4. Kichankuli

    Ushuhuda: Pombe sasa basi, Mungu kaniokoa na ugonjwa wa Figo

    TheTruthtobeTold hiyo miaka 25 umeitoa wapi?. Mdau kasema ameanza kunywa siku ya mahafali yake ya kidato cha nne, kimahesabu alianza kunywa mwaka 1993 akiwa na miaka 18 (7+7+4 =18), halafu 2018 toa 1993 sawasawa na 25 ambayo ndiyo miaka ya kuwa anakunywa. Kwa hiyo ukitaka kufahamu huyu jamaa...
  5. Kichankuli

    Watu wa Tabora ni watu wabaya sana. Walichomfanya Mkuu wa Mkoa Aggrey Mwanri...

    Demiss Demiss, umeshawahi kurongwa na Warangi wewe??
  6. Kichankuli

    Should I Say Yes....... Should I Say No....

    ulivyoandika ukimpa mtaalamu wa utungaji wa nyimbo anaweza kutengeneza bonge la rekodi :):):)
  7. Kichankuli

    Kamusi ya Kiswahili kwa Kiswahili

    Salamu wana JF, Naomba mwenye nakala rojo (soft copy) ya Kamusi ya Kiswahili kwa Kiswahili anirushie tafadhal. Akhsante.
  8. Kichankuli

    Fiesta Dar ni Utapeli Mkubwa

    Washauri wawe wanaenda Msondo Ngoma na Sikinde
  9. Kichankuli

    Wanamwita KIPUSA

    Salamu. Hivi hili neno Kipusa siku hizi limebadilika maana yake?. Nifahamuvyo mimi nifahamuvyo maana yake kwa mujibu wa TUKI ni: .kipusa nm vi- [ki-/vi-] rhino horn. 2 (sio rasmi) beautiful young lady. Sasa huu wimbo unaovuma sana nashindwa kuuelewa. Ni vema wasanii wakawa wanasoma na...
  10. Kichankuli

    Maana halisi ya 'sitirifu'

    Habari ya leo wataalamu wa Kiswahili. Leo asubuhi nimemsikia Mwanazuoni mmoja wa Kiswahili ambaye hushirikiana na Radio Clouds akisema kwamba neno "Sitirifu" maana yake hali ya usiri. Binafsi naona kama siyo sahihi vile kutokana na mzizi wa neno lenyewe kuwa ni Sitiri ambalo maana yake ni hali...
  11. Kichankuli

    Maana ya neno Kaunti

    Kaunti siyo county
  12. Kichankuli

    Maana ya neno Kaunti

    Wenye kufahamu maana ya neno Kaunti ambalo linatumika sana nchini kenya mnijuzi tafadhal
  13. Kichankuli

    Dakika 30 za PLO Lumumba zaimaliza NASA ya Odinga mahakamani, wanasheria wa Tanzania jifunzeni kwake jamaa huyu

    Tatizo letu huwa hatuelewi viashiria vya kuwa mtu ameongea pointi au ucheshi, ukiwa unaongea na watu halafu wakacheka haimaanishi kuwa umeongea kitu cha muhimu na hasa sehemu kama Mahakamani au Kanisani kwenye mahubiri. Nilitarajia kama Lumumba angeongea hoja nzito basi mawakili na wanasheria...
  14. Kichankuli

    Miji iliopangiliwa vizuri Tanzania

    Dodoma inaongoza
  15. Kichankuli

    Wanaume walioko kwenye ndoa wana raha sana

    Angalia hii clip upate mafundisho
  16. Kichankuli

    Mourinho:"I think a manager that's not sacked is not a manager, or at least is not a good manager,"

    Salamu wana JF. What is your take on this quote from Mourinho" Jose Mourinho: Sir Alex Ferguson's legacy is not a burden
  17. Kichankuli

    Msaada: Neno hodi kwa Kingereza

    Nimefafanua hapo juu kwamba badala ya kusema "kugonga hodi" ungesema "kubisha/kupiga hodi"; Unaweza kubisha hodi kwa kugonga mlango, kubonyeza kengele au kwa kutamka neno hodi ambapo kwa ung'eng'e ndo wanatumia hello there, somebody in there. Kwa asili milango yetu inikuwa haina milango kwa...
  18. Kichankuli

    Msaada: Neno hodi kwa Kingereza

    Umeeleza vizuri isipokuwa kwenye kugonga, hodi inabishwa (kubisha hodi siyo kugonga hodi)
Back
Top Bottom