Search results

  1. Fibonacci

    Naomba msaada jinsi ya kufika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, UDOM

    Interview ya oral ilikua ya lugha gan mkuu? Au unachagua?
  2. Fibonacci

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Music Production

    Diploma ya Music Production ni miaka mingapi? Na chuo gan?
  3. Fibonacci

    ANGALIZO: Kutozingatia hivi vitu hutokuwa SHORTLISTED Ajira Portal

    Cheti changu cha kuzaliwa kipo certified na RITA...na huwa wananishortlist kama kawaida
  4. Fibonacci

    Kuchange jina la kozi ili uombe kazi Ajita portal

    kwani umesoma degree gan mkuu?
  5. Fibonacci

    Nimesoma Mining Engineering, natafuta kazi. Napokea pia maoni na ushauri! Karibu

    Habari zenu wakuu! Nina elimu ya diploma ya Mining Engineering, nina uzoefu wa miaka minne (nimeshafanya kazi kwenye mining lab, quarry na small scale mines). Mwenye connection za kazi migodini, tafadhali naomba tuwasiliane kupitia 0622614105, hata mwenye ushauri au mawazo napokea! NB...
  6. Fibonacci

    Naombeni List ya nyimbo za hiphop ya bongo, zilizokuwa mixed na nyimbo za zilipendwa (zile za zamani)

    Mfano nyimbo ya tamaduni music - Jemedari au NashMc - Mapendo...... Natanguliza shukrani
  7. Fibonacci

    Anaehitaj Chumba UDSM Mabibo Hostel kwa 140 000/=

    ni hostel za chuo bro....sio binafsi
  8. Fibonacci

    Anaehitaj Chumba UDSM Mabibo Hostel kwa 140 000/=

    mwenye uhitajii ankcheki PM
  9. Fibonacci

    HESLB yatoa mkopo awamu ya pili kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza 2018/19

    Habari wakuu, je naweza kupata wapi majina ya UDSM ya mikopo? Au yamebandikwa chuoni, kwa waliofika?
  10. Fibonacci

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza.

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza ya majina ya wanafunzi 25,532 waliopewa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/19. Mkopo huo una thamani ya TZS Bilioni 88.36 ambapo wanafunzi wa kiume waliopewa ni 16,085 na wanafunzi wa wakike ni 9,447. Source: Swahili TImes
  11. Fibonacci

    Mjikumbushe Mzumbe High School

    hahahaha....umenikubusha mbali san, Mongola na Adrian ndo ilikua mitaa ya Nyakizee ya kujidai
  12. Fibonacci

    Ndo nimetoka ofisi za TCU

    duh...asee..nmejaribu hii kitu kumfanyia mtu confirmation imekubali
  13. Fibonacci

    kwa wale wa UDSM (Single Admission), kuna wanao kutana hii message "You have REJECTED this admission offer"

    Hhahaha! nilitegemea kutakua na breakout, kumbe kuna reversal, trend imeamua kua against na mimi ghafla,,,,bongo yetu bhana!
  14. Fibonacci

    kwa wale wa UDSM (Single Admission), kuna wanao kutana hii message "You have REJECTED this admission offer"

    Habari, Kwa wale waliochagulia UDSM without mulitiple selection, kuna mtu mwingine anaekutana na ujumbe "You have REJECTED this admission offer " ilihali hakukua na sehemu ya kukubali wala kukataa? Mwanzoni walikua wamendika "Your admission offer is confirmed to this institution" ila sasa...
  15. Fibonacci

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapa nataka nichague mikeka kadhaa....afu niweka Singles na doubles (if possible)...ushauri wenu wadau
Back
Top Bottom