jamaa wanataka kuchoropoka
yaani kwamfano mimi nikiiba halaf nikapelekwa mahakaman na kukiwepo ushahid kuwa nimeiba halaf magazet, radio na matv yote yakanitangaza tangaza sana kuwa mimi nimeiba ntakuwa nimeula kwa maana ntaachiwa?
nae mwakipesile bwana kwanin hakuwasikiliza?
1. au alikuwa na haraka sana?
2. au alikuwa anaogopa angeletewa fujo?
sina uhakika na chochote katka hayo au mengine
lakin mwakipesile, mwanasiasa, mkuu wa mkoa husika na ambaye aliwah kuwa mbunge wa sehem hiyo hiyo naamin alikuwa na cha kufanya...
dini kweli inaruhusu. na ukisha kuwa rais matunzo ya sasa na baadae huumiz kichwa.
lakin pia sijui angekuwa anaonwaje onwaje au ingekuwaje kuwaje kama miaka ya mwanzo ya 2000 ndo angejiongezea wake kama anavyofanya sasa. au kipind kile anaanza kujiandaa kumrith mkapa
du. ingekuwa inawezekana wote wangeyaharibu hayo madude. shida yake imeonwa ujapan. lile dude ndo lingepigwa bongo kweli tungenyanyuka?
akili, maarifa na maresources yote yangeelekezwa kutatua matatizo ya liyopo na yajayo ya mwanadam - lakin wapi! ni mabifu kwenda mbele
sikonge ameandika hivi:
sa wewe unasema alipokosea tuparekebishe. yaani turudishe nyuma hayo mambo yawe hayakufanyika? kama kuna meremeta tayari imemeremeta na kama kuna deepgreen imeshakuwa hivyo
na shida ingine hayo yalikuwa mambo yaliyokuwa yanafanyika katika kipindi kirefu. si rahis...
sio rahisi kuomba samahani
na kuomba samahani ni ustaarabu wa hali ya juu. inaambatana na kukubali kuwa wewe ni binadamu kama wengine - kuwa wewe sio malaika - kwamba unaweza kukosea kama kila mtu awezavyo kukosea
hata hivyo kuomba samahani kunaambatana na nia ya kutotaka kurudia tena. sasa...
naona kama una komplicate situation. yeye alisema mafisad ni hawa. yaani alisema wezi wetu ni hawa. na akataja na makashfa yawahusuyo. sasa kwanin tuanze kuangalia huyu mengi anashughulika na nini? haya chukulia ni mshindani wao katka biashara au anataka uraisi baada ya jmk. kwahiyo...
wala hatumpi hongera akienda kuzungusha bakuri. hata sis inatuuzi ati! na pia hapa kila mara tunasema jamaa kazid kuzunguka zunguka. au husomi posts za humu?
any way. akienda nje si lazima aende kuomba omba. inawezekana ni kula gud time tu. inawezekana ikawa mambo mengine pia.
kuhusu knjaro...
kushinda mafisad ni lazima
kwanza mafisad wote ni sampuli za watu wenye roho ngumu za ajabu. na ni kufa ama kupona kwao.
na hebu fikiria rostam, lowasa, chenge waamue waseme hatutaki kabisa kujishughulisha na siasa. na waamue kuwaacha walivyo kina kilango, seleli, mwakyembe, na wengine...
Tz hii yetu mtu sampuli ya huyu raisi wa iran si rahis kukubalika mpaka akafika kuwa rais. Kwamfano akitaka kupitia mgongo wa ccm basi atapingwa mpaka kitaeleweka. Sijui hiyo cc au nec yao haitomkubali
Sijui kwanin likely itakuwa hiv wakat kila kukicha tunajifanya kumkumbuka, kumuenz na...
ah
angekuwa huyo hussein m ndo magufuli, masaka ningekuunga mkono.
lakin ajabu sijui kwanin hujampendekeza magufuli. au kwasababu babake hakuwa rais siku za nyuma
mtu wa kawaida kama mie kazi za magufuli naziona na nazisikia. hussein mwinyi namsikia bungeni tu. au labda anapewa wizara...
kama ni kuzomea huenda pia walikuwa wanaanagalia zaid imani yao - au ya jumuia yao ikoje kuhusu suala hilo. hii naweka pembeni kuwa wao ni wanajumuia ya chuo kikuu - na ambao wanaweza kuwa wanatoka din tofaut
hebu kumbuka hapa tz rais mstaafu alhaj ali hassan mwinyi alishambuliwa mwilini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.