Nawasalimu wakuu wote.
Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga.
Pia wakati huo hata kwa watu wengi...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Mimi nikijana nilie ajiliwa katika idala moja wapo seriialini
Nina umliwa miaka 34
nahitaji nimpate mpenzi ambaye ana lengo la kujenga maisha umli miaka 25 na kuendelea
wasiliana nami kwa namba 0743503492 SMS zote zitajibiwa
Kwa wenye tatizo la tezi dume ni pm nikuelekeze kutengeneza dawa bure au nitext whatssap kwa namba 0628944712 nikuelekeze kutengeneza dawa bila malipo hata ya shilingi moja.
Ukihitaji nikutengezee nitakuchaji 60000 tu ambayo utailipa baada ya kupona
Ndugu, heshima kwenu wakuu
Mimi ni kijana mjasilia mali mwenye hutaji la kutimiza ndoto zangu.
Naomba kujuzwa wapi naweza pata mkopo wa bajaji kwa masharti nafuu, dhamana ya mkopo ni Bajaji yenyewe
Pia nina uwezo wa kutanguliza fedha kiasi cha shilingi milioni moja na nusu na inayo baki...
Mtafutaji hachoki, nahitaji mchumba (mke) awe anaishi kanda ya ziwa.
Mimi n kijana mjasiliamali nina umli wa miaka 33.
Ninatafuta mke mwenye umli kai ya miaka 26 hadi 33,
awe mkristo, elimu angalau kidato cha nne na kuendelea asiwe mke wa mtu akiwa na mtoto mmoja rukusa.
Nahitaji walio sereous...
Kama heading hapo juu inavyo sema mimi ni kijana ninae ishi mikoa ya kanda ya ziwa.
Nimuaiiliwa serikalini na elimu yangu ni shahada, dini ni mkristo, umbo langu si mnene wala si mwembamba na urefu wa wastani
natafuta mchumba atakae kua mke endapo tutaelewana umli kati ya miaka 24 hadi miaka 33...
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka 31 ni muajiliwa serikalini elimu yangu ni shahada
Nahitaji mke mwenye nia ya dhati kujenga familia umli miaka 24 mpaka 33
Kwa alie serious napatikana kwa namba 0628944712
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa askali polisi wa Geita Central station kwa jitihada walizo Fanya mpaka kumuokoa mtoto alie kua ametekwa na mtu alie toa masharti ya kupewa fedha ili amuachilie
Tarehe 03/01/2017 nilifika nyumbani mida ya saa saba mchana ambapo nilikuta nyumba imejaa...
Ndugu mimi ni mtumishi wa umma pia ni mjasilia mali katika swala zima la usafishaji
Ninaomba kujua kama kuna watu binafsi au kampuni zinazo toa mkopo hasa wa gali aina ya Hiace kwa mashariti nafuu
Niko tayari kurejesha gharama zote pamoja na riba ndani ya miaka mitatu dhamana yangu kubwa ni...
Nauza tabket yangu ya itel it 1702 imetumika kwa mwezi mmoja tu bei laki na nusu kwa wenyeji wa kanda ya ziwa tuwasiliane kwa namba 0753868912 na nita poat specification zake baadae kidogo pamoja na image
Akina dada nipende kuwashauri kitu kimoja.
Msipende kuwadharau vijana mnaofanyanao kazi ofisi moja na kuwaona wa thamani kubwa watu msiowajua hasa wa kwenye mitandao mkidhani kuwa hao ndio wana maisha bora.
Ukweli ni kwamba akina dada wengi wanatabia ya kuwadharau vijana wanaoishinao wakiamini...
Nimehangaika sana nikimtafuta mke wa maisha yangu kwa mda mrefu. Wengi walio jitokeza hawakuwa na nia ya dhati ajabu nimekutana na mtu ambae ananjia inafaa katika maisha yangu kwa njia ambayo hata mimi sikuelewa.
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka ishirini na tisa nimeajiliwa katika idala moja wapo ya serikali.
Ninatafuta mwanamke mwenye umli kati ya miaka 18 mpaka 28
sifa za ninae mhitaji awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, asiwe mwanafunzi, awe mkiristo kama ni mwislamu awe tayari...
Natafuta gari aina ya noah kwa milioni saba nitatoa milioni tatu na nusu cash na baada ya miezi sita nitamalizia milioni tatu na nusu.
Mwenye nayo wasiliana nami kupitia +255753868912
Mara ya kwanza nilipost tangazo langu nikitafuta mwanamke wa kua naye ni kweli kuna walio jitokeza hasa ambae alie kua na privillage kubwa kuna mambo kadhaa ambayo hakuyaelewa kutoka kwangu na kisha kuto elewana.
Narudi kwa mara nyingine nikitafuta ambae tutaweza kuendanamiaka 21 mpaka 28
MIMI...
Mimi ni mtumishi wa serikali nilie ajiliwa chini ya serikali za mitaa
Ninatafuta mfanya biashara anae weza kuniamini na kunikopesha gari aina toyota hiace ambayenitaingianaye mkataba wa kumlipa laki tano kila mwezi kwa mda wa miezi sitini endapo gari itakua mpya
Mimi ni mtumishi wa serikali nilie ajiliwa chini ya TAMISEMI
Natafuta kampuni au mfanyabiashara yoyote anaeweza kunipa mkopo wa gari aina ya noah au hiace kwa mkataba wa kumlipa pole pole kutoka kwenye mshahara wangu. Kwa yeyote anae jua uwepo wa kampuni kama hiyo tafadhali nijulishe kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.