mkuu umenena, vibaka/wezi wanatesa sana TZ
majuzi vibaka walikomba karibu kila kitu ktk gari yangu... Katika kufuatilia watu wakaniambia niwahi 'GEREZANI' kabla havijauzwa!....Nilikwenda na kuvikuta vifaa vyote na kuvinunua tena! cha ajabu polisi wafahamu....
Tu -import- kutoka nje ya africa..'kubinafsisha uongozi wa juu'..
safu ya uongozi iwe;
prezidee-USA
w-mkuu-UK
w-kilimo-china
w-pesa-Uk
w-miundombinu-china
elimu-German
mambo ya ndani- Slaa
nishati- Prof. mark
hapo wakuu with in 5yrs...TZ itakuwa na mwelekeo... ni afadhali kutawaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.