kwa fikira zangu tusibilege kashinda kihalali coz sera zake watu walizikubali na tulimpa kura na alimzindi mgombea mwenzake kwa kura na mimi binafsi nmeridhika na matokeo kabisa hayo mengne kwamba cjui kawekwa mi siyajua ila frankly speaking namkubali sana vice president wetu tusibilege...
Wakuu,
Kuna msichana yupo njia panda. Ana umri wa miaka 23. Ana mpenzi wake ambaye wana undugu pia. Dada yake huyu msichana kaolewa na anko wa huyo mpenzi wake. Wanapendana kwa dhati na hayo mahusiano ni ya siri sana, ila kuna baadhi ya nugu zake msichana huyo wamegundua na hawakubaliani na...
hello wanajf hope mpo well wakati mwingine tunawaonea wasichana walo soma eti wanawadharau waume zao pale wanapoolewa na wanaume ambao hawajasoma,kwa upande mwingine nao wanaume wanamatatizo ya kujishtukia utasikia ktk kitu chochote ''au unafanya hv kwa kuwa umesoma'',maneno kama haya huwa...
i know how u feel amu coz i know nin maana ya kupenda cjui uliyekutana nae kama anamapenz ya dhati kwako kama alivyo ticha labda ukweli ni kwamba kwa ticha mapenz yameisha na hii imetokana kwa kuwa ulipenda just azibe pengo la upweke uliokuwa nao ndoa ni kitu kikubwa sana ni maisha yako ya...
mwanao bado mdogo we kama mtu mzima unatakiwa kumshauri akasome na sizani kwa age yake bado hajawa wakuwa na familia labda kama utawalea wote acha mtoto akasome kwanza akirudi upeo wa akili yake utakuwa umechange na kama atakuwa amepata mwingine poa kama bado anapenda kufunga ndoa na dada wa...
hello wana jf mimi ni msichana mwenye umri wa miaka ishirini na tatu nina boyfriend aliyenizidi miaka minne sisi wote ni wanafunz ila wa course tofauti ukweli ni kwamba course yake inavitu ving sana na inamuweka busy kiasi kwamba ananisahau nkimpigia cm anapokea na pia anapokuta sms yang hasiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.