Search results

  1. A

    Rais Kagame amwalika Rais Kikwete jijini Kigali, Rwanda kwa ziara ya siku moja

    Namshangaa sana Rais Kikwete. Kule Mwakata, Kahama watu kama 40 wamekufa na wengine wengi wameathirika vibaya sana kwa mvua na upepo mkali, yeye anajitia kwenye pipa huyo anaelekea Ruanda. Hawa ndiyo viongozi wetu na viongozi wa chama tawala. Hawajali maisha ya watu hata kidogo si kwa wakati wa...
  2. A

    University of Dar es Salaaam: Mtambo wa kuzalisha wahujumu uchumi na mafisadi Tanzania

    Wangwanga hii topic ni tamu. Siku zote nikijiuliza jukumu la wasomi, hasa wanaotoka UDSM, katika kuleta mabadiliko katika nchi. Nasema wasomi hasa UDSM kwa sababu ndiyo chuo kikuu chetu cha mwanzo hapa TZ. Matarajio yetu ilikuwa chuo hichi kiongoze katika kuleta maendeleo na mabadiliko ya...
  3. A

    Mshitakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na Polisi Mahakamani

    Kigogo na wenzekao mnaounga mkono unyama wa polisi Tanzania, naona mnafikiri baina ya miguu miwili tu. Bahati mbaya hamfikirii mbali hata kidogo Lakini Waswahili walisema, "Tumbili (kima) wakimaliza miti huja mwilini". Kwa hivyo hiyo miti itamaliza siku moja na mtawaona ndani miili yenu...
  4. A

    Mshitakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na Polisi Mahakamani

    Tanzania ndiyo siku zote tusipige hatua mbele kwa sababu Watanzania kusema kweli wanaogopa kuchekwa. Kusema polisi kanipiga tunaogopa kuchekwa, kusema kiongozi au mkuu wangu kazini kanitongoza au kaniomba ngono tunagopa kuchekwa. Hii"taboo" ya kuogopa kuchekwa lazima iondoshwe katika akili za...
  5. A

    Mshitakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na Polisi Mahakamani

    Haya wale wanaojinata kwa Tanzania kuwa ni nchi ya sheria na haki. Tanzania chini ya CCM hakuna sheria ni haki. Mamboa yanavyokwenda ni kuwa ama ukubaliane na CCM au wakudhalilishe. Tokea litokee tendo hili na watuhumiwa kusema mbele ya mahkama na kuripotiwa na vyombo kadhaa vya habari...
  6. A

    US Ambassador to Tanzania's Statement on the Attack on Absalom Kibanda

    Hili ni la Tanganyika kwa hivyo ni uhalifu. Lingalikuwa ni la Zanzibar lingalikuwa la ugaidi. Sasa leteni FBI na hili wasidie uchunguzi. Au uchunguzi wa hili si muhimu?
  7. A

    Maandamano makubwa Songea!

    Kwanza poleni sana ndugu zetu wa Songea na Tanganyika kwa jumla. Habari ya kusikitisha sana. Sipendi kusema haya kwa furaha lakini inabidi niseme kama ukumbusho kwa yaliopita, yaliopo na yajayo kwa nchi yetu au Tanganyika na Zanzibar. Huko nyuma wenzetu wa Tanganyika walizowea kusikia...
  8. A

    Tanzania yazidi kushuka hadhi kwenye jumuiya ya kimataifa?

    Jamani marais hao hawapendi kudanganywa. Hakuna nchi inayoitwa Tanzania ambayo imetimiza miaka 50 ya uhuru. Tuweni wakweli. Hivi tunavyofanya tunaandika historia ya vizazi vyetu. Vizazi vyetu vitakuja kutusuta, jamani hawa mababu zetu walikuwa wamesoma au angalau walikuwa wanajihangaisha kutumia...
  9. A

    Common Zanzibaris: Hivi ndivyo wanavyouona Muungano?

    Masahihisho ndugu Amoeba: Hapana Muungano kati ya Tanzania na Zanzibar, bali ni baina ya Tanganyika na Zanzibar. Tanzania ilizaliwa baada ya huo unaoitwa Muungano.
  10. A

    Kujadili Muungano si chokochoko!

    Muungano ni lazima ujadiliwe tena kwa undani, siyo juu. Hautaki kupigwa brush huo. Nahisi Wananchi wengi wa Tanganyika hawajuwi hasa huu Muungano una lengo gani. Wanabebeshwa mzigo wasioujuwa.Ni tofauti sana na wananchi wengi wa Zanzibar. Wao wanaelewa Muungano una malengo gani. Wasiotaka...
  11. A

    Zanzibar Kupongeza wachomaji, Wasaidiwe washinde kesi, Mashujaa wa Muhanga!

    Ndugu zangu wa Tanganyika naona emotions zinakuchukuweni sana. Wengine hata hamjuwi mnazungumza nini, mamo tu kwenye mdundiko. Fanyeni utafiti wa haya mambo. Quran ilichomwa moto huko Zanzibar na Mtanganyika na hatukuona hamasa au emotions kama hizi na wala hatukuvisikia vyombo vya habari...
  12. A

    Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

    Tusiwe wenye hamasa kiasi hicho. Kesi iko mahkamani, kwa nini hatuiachii sheria kuchukuwa mkondo wake. Kwa nini moja kwa moja tunafanya tathmini (conclusion) kuwa ni dalili tosha Wazanzibari hawautaki Muungano. Huu Muungano uliopo ni wa viongozi wa Serikali na uhusiano wa watu utakuwepo pale...
  13. A

    Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

    Ndugu wanaforum, Binafsi nampongeza Bi Sofia Simba kwa ushujaa wake. Hii aliyoitowa mwanamama huyu ni kweli isiyo na doa kuhusu CCM na ufisadi. Uliojaa ndani ya CCM ni ufisadi ufisadi ufisadi na kama hutaki kushirikiana na ufisadi ndani ya CCM ni vigumu sana kuendelea. Mambo yatadhihirika...
  14. A

    Kisa cha Rais Ali Hassan Mwinyi kipigwa kibao akihutubia

    Ukweli kushambuliwa kwa mzee Mwinyi si suluhisho la tatizo na wala si ustaarabu aliopaswa huyu kijana kuonesha. Pegnine anahitaji mchakato wa jinsi ya kujibu mambo asiyokubaliana nayo wakati wa mazungumzo au mijadala. Kijana kafanya kosa lakini vile vile kwa nilivyoona katika video na kusoma...
Back
Top Bottom