Habari wana jamvi!
Nafikiria kuanzisha biashara ya A4 copy paper kutoka aidha South Africa au Thailand! yaani kuleta container. soko langu nalilenga kanda ya ziwa.
Wadau nahitaji mwenye taarifa sahihi kuhusu hii biashara anisaidie kunipa taarifa wapi mzigo mzuri nitapata, mtaji, brand gani ya...
Ferre g utakuwa na mgogoro binafsi, kwa kuwa pengine unajifanya kufahamiana naye kwa taarifa yako anafanya vizuri, watu wa naangalia uthubutu na vitendo. Amos siyantemi kazindua kitabu cha ccm na ukombozi. Acha kubeza kwa kuwa unamfahamu leta hoja
Ukweli vijana tunapaswa kubadili mtazamo, wengi wetu wanafikiri ili mtu agombee Urais ni lazima awe Waziri, mbunge au mtu maarufu sana. Hiyo sio kweli na wenye mawazo hayo mgando wanataka kutulazimisha tuibadili katiba yetu ya sasa kwamba ili mtu agombee Urais ni lazima awe na miaka 40 na...
Huyu jamaa nimesoma naye pale kurasini anauwezo mkubwa lakini tatizo amekaa ccm toka 2000 hawa ccm sijui wamemfanyia nn angekuwa chadema angekuwa mbali sana kisiasa
Mtu akileta taarifa kwenye jamii flani lengo ni kuwafanya wengine kuelewa cha mhimu ni source yake. Pia watu makini tujadili issues na sio watu kutukana hapa J forum watu wengine sijui wamekula maharage ya wapi.
Tatizo la vijana wengi wa taifa hili ni waoga sana kazi ni kulalamika na kukosoa lakini linapofika swala la kutenda na kuthubutu zero. waacheni wanasiasa vijana wapya walete mabadiliko, kuupata uraisi hawezi lakini amejaribu hiyo pekee ni hatua.
Ni mtanzania anayo haki ya kikatiba kufanya hivyo, hapa ninachokiona ni uthubutu ni kitu kikubwa, inaweza kumsaidia, wewe unaemponda uwahi kuthubutu? Waacheni vijana wazalendo wathubutu pengine inaweza kusaidia taifa letu. Acha kukatisha tamaa vijana,
Mambo vipi! wana jamvi, leo naomba kuuliza kuhusiana na kitu ambacho nimekutana nacho leo muda si mrefu katika benki moja ambayo ipo maeneo ya banana ukonga, nimemuona askari polisi akiwa amevaa ear phone masikioni huku akiwa lindoni na amebeba silaha je ni sawa?
Samahani lakini!:-*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.