Search results

  1. N

    Biashara ya A4 copy paper kutoka nje. Nahitaji mwenye taarifa sahihi kuhusu hii biashara anisaidie

    Habari wana jamvi! Nafikiria kuanzisha biashara ya A4 copy paper kutoka aidha South Africa au Thailand! yaani kuleta container. soko langu nalilenga kanda ya ziwa. Wadau nahitaji mwenye taarifa sahihi kuhusu hii biashara anisaidie kunipa taarifa wapi mzigo mzuri nitapata, mtaji, brand gani ya...
  2. N

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Kweli mtangazaji alikuwa anambeba mtatiro Polepole yuko vizuri
  3. N

    Tuchangamshe akili wakuu

    Light, right, write
  4. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Ferre g utakuwa na mgogoro binafsi, kwa kuwa pengine unajifanya kufahamiana naye kwa taarifa yako anafanya vizuri, watu wa naangalia uthubutu na vitendo. Amos siyantemi kazindua kitabu cha ccm na ukombozi. Acha kubeza kwa kuwa unamfahamu leta hoja
  5. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Acha upuuzi lete CV yako tuone uwezo wako, acha kukatisha tamaa vijana wazalendo
  6. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Ukweli vijana tunapaswa kubadili mtazamo, wengi wetu wanafikiri ili mtu agombee Urais ni lazima awe Waziri, mbunge au mtu maarufu sana. Hiyo sio kweli na wenye mawazo hayo mgando wanataka kutulazimisha tuibadili katiba yetu ya sasa kwamba ili mtu agombee Urais ni lazima awe na miaka 40 na...
  7. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Huyu jamaa nimesoma naye pale kurasini anauwezo mkubwa lakini tatizo amekaa ccm toka 2000 hawa ccm sijui wamemfanyia nn angekuwa chadema angekuwa mbali sana kisiasa
  8. N

    Baba mzazi wa mgombea urais Amos Siyantemi

    Tusikilizie anakuja na agenda ipi siyo kupuuzia kila kitu, u kipuuzi a kila kitu utakuwa mpuuzi mkubwa
  9. N

    Baba mzazi wa mgombea urais Amos Siyantemi

    Taja na jina la baba yako tusikie anafahamika wapi.
  10. N

    Baba mzazi wa mgombea urais Amos Siyantemi

    Mtu akileta taarifa kwenye jamii flani lengo ni kuwafanya wengine kuelewa cha mhimu ni source yake. Pia watu makini tujadili issues na sio watu kutukana hapa J forum watu wengine sijui wamekula maharage ya wapi.
  11. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Tatizo la vijana wengi wa taifa hili ni waoga sana kazi ni kulalamika na kukosoa lakini linapofika swala la kutenda na kuthubutu zero. waacheni wanasiasa vijana wapya walete mabadiliko, kuupata uraisi hawezi lakini amejaribu hiyo pekee ni hatua.
  12. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Tatizo sio mleta uzi, tatizo ni watu wenye mawazo hasi siku zote,
  13. N

    Mfahamu Amos Robert Siyantemi, Kijana mpole na mgombea urais kupitia CCM

    Ni mtanzania anayo haki ya kikatiba kufanya hivyo, hapa ninachokiona ni uthubutu ni kitu kikubwa, inaweza kumsaidia, wewe unaemponda uwahi kuthubutu? Waacheni vijana wazalendo wathubutu pengine inaweza kusaidia taifa letu. Acha kukatisha tamaa vijana,
  14. N

    Majina ya Kisukuma

    Manyhakenda unoko wi kumi. lukanya bado. lugwisha ndutu ja banyha
  15. N

    Kama una stress please read this...

    wewe ni noma.nimecheka mpaka nimekuwa kituko hapa nilipo
  16. N

    Wanawake wa kisukuma wanatabia zipi...

    Wanawake wa ntuzu wana majivuno maringo na dharau
  17. N

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    tuu ni neno lenye herufi tatu
  18. N

    Askari Polisi ni sawa kuvaa ear phone masikioni?

    Mambo vipi! wana jamvi, leo naomba kuuliza kuhusiana na kitu ambacho nimekutana nacho leo muda si mrefu katika benki moja ambayo ipo maeneo ya banana ukonga, nimemuona askari polisi akiwa amevaa ear phone masikioni huku akiwa lindoni na amebeba silaha je ni sawa? Samahani lakini!:-*
  19. N

    Pspf jamani kunani?

    Du hapo mie sina tena swali!
  20. N

    Pspf jamani kunani?

    :playball: kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview?
Back
Top Bottom