Nothing can be done by the dead. Their blood wont do anything to the lives. Their body will remain in the dust until the second coming of the son of God (Jesus Chirst, the Messiah).
Hilo tatizo nimeliona pia kwenye Compaq. Machine ikipata moto (hata battery ikipata moto) hupelekea kuongezeka kwa resistance kwenye mfumo wa upitishwaji wa umeme hivyo kusababisha hali hiyo kutokea. Pindi unapochomoa cable joto hushuka na kuendelea na kazi vizuri. Nakushauri utafute cable...
Nakushauri uende ubalozi wa RSA nchini Tanzania (kama upo)
*** Hakuna haja ya kwenda SA kutupa hela, nenda mbugani, mlima kilimanjaro, Zanzibar, etc. Nina uhakika hujawahi kanyaga hata mikumi wewe :)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.