Search results

  1. Q

    Uchafu wa kiroho hunuka kuliko uvundo wa maliwato

    My bro ni kweli kabisa ukitendwa kurudishwa upendo wa awali haiwezekani kabisa.
  2. Q

    Mwenye kulifahamu Ua hili

    YAPO MENGI TU KWA WAUZA MAUA. TUAMBIE BASI LINASAIDIA NINI?
  3. Q

    Ipi ni picha halisi

    du wewe ni mchoraji? jitangaze tutakupataje? unachora kwa kweli
  4. Q

    Uzi maalum. Mbwembwe za Wanyakyusa!

    Kwa kweli kuna watu hawaijui Mbeya, karibuni huwezi fananisha na huko kwenu kwa kila kitu:)
  5. Q

    Maisha yanaenda kasi sana

    Mama yangu kipenzi nitakukumbuka daima, wenzetu wote ndani ya nyumba hii Jamii forums na wote waliotutangulia tutawakumbuka daima.
  6. Q

    Mimea 10 ya kiroho yenye nguvu chanya kimwili

    Tunasubiri kwa hamu namba 9 na 10 please
  7. Q

    TANZIA Rapa mkongwe wa Hip Hop, Coolio afariki Dunia

    Pumzika kwa amani. tutakumiss sana sisi tuliokuwa wasichana na wavulana kipindi hicho na sasa ni kina bibi na babu
  8. Q

    Gari linatoa harufu ya petrol ndani

    kwa kweli kwani mimi ilishanitokea kumbe ni tank lilikuwa lina leakage. tank liko ndani ya gari kwenye sit za nyuma
  9. Q

    TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

    Pole sana kwa WanajamiiForums na familia kwa ujumla
  10. Q

    Kama pato lako ni chini ya milioni 3 jenga ghorofa la Kinyakyusa ukiwa na ndoto ya kujenga ghorofa kwa sasa!

    mhhh sisi kina sisi jamani. kwani lazima ulale juu. tuseme hatuwezi tu
  11. Q

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    yaani hizo kucha du sijui huyo ajaye itakuwaje? atakatwa kucha kweli?
  12. Q

    Hivi ili nawe umeliona? Nyumba za makazi Marekani na Ulaya kutokuwa na fensi ndefu

    uswahilini shida una ukuta mrefu lakini hata gate tunaogopa kuliacha wazi kwa muda kwani vibaka lazima wachungulie kuna nini ndani.
  13. Q

    Kulewa kwa kupitiliza kunataka kumfanya Baba yangu atake kustaafu mapema

    Mungu akusaidie yaani karibu familia nyingi hazikosi mnywaji aliyepitiliza tumwombe sana Mungu kwakweli.
  14. Q

    Nature preserved! Only for nature lovers

    ya miaka hiyo
  15. Q

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

    Apumzike kwa amani. Naomba maelezo ya sehemu gani hapo Unga Limited msiba ulipo ili niweze kuhudhuria
  16. Q

    Kuna vitu si vya kukabidhi Mwanamke

    Acha nicheke hayo ni mawazo duni kwa kudhani kila mwanaume anaweza kumiliki ulivyotaja hapo juu na mwanamke hawezi. Nikwambie kitu si kila mwanamke/mke anahitaji kumilikishwa vitu kutoka kwa mume/mwanamume
  17. Q

    Wasiokujua kwa utamu wako ni wachache sana

    Isekhe lya nyungu kwa Wanyaki
Back
Top Bottom