Search results

  1. SULEIMAN ABEID

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-

    Serikali imetangaza kusajili vikundi vya kijamii ikiwemo vya WHATSAP hii sheria haifai haifai haifai! Imelenga kuwaumiza Watanzania Wanyonge!
  2. SULEIMAN ABEID

    Hii ripoti imekaaje?

    Ninavyoelewa aliyewasimamisha ni wizara siyo Chama cha Wauguzi Tanzania! Sasa wamepata wapi nguvu ya kutoa majibu kabla ya Waziri mwenye dhamana na Wizara husika? --- Chama cha Wauguzi Tanzania kimebaini kuwepo kwa mgogoro binafsi kati ya watumishi wa Zahanati ya Ishihimulwa waliorekodiwa...
  3. SULEIMAN ABEID

    Bashiru akerwa na kauli ya 'anaupiga mwingi' na wanaosifu utawala wa Samia

    Huyu ana chonganisha wananchi na kiongozi wao! Akimbuke aliyokuwa anayasema akiwa Katibu mkuu wa CCM[emoji35]
  4. SULEIMAN ABEID

    Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

    PANGA LA NEC LAMFYEKA LUHAGA MPINA- JINA LAKE LAENGULIWA KUGOMBEA UJUMBE WA NEC. * Mambo 11 yaliyomponza yatajwa HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi imeliengua jina la Mbunge wa Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya...
  5. SULEIMAN ABEID

    Meatu: Madiwani wamtaka Waziri TAMISEMI afanye ukaguzi maalumu wa fedha za Halmashauri, wanusa harufu ya ubadhirifu mkubwa

    BAADHI ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu wamemwandikia barua waziri mwenye dhamana na Serikali za Mitaa hapa nchini (TAMISEMI) Angela Kairuki ili atume timu maalumu ya ukaguzi iweze kufanya ukaguzi maalum katika Halmashauri hiyo ya wilaya kukagua matumizi ya fedha ambazo zilipangwa...
  6. SULEIMAN ABEID

    Madiwani Meatu wamuangukia Waziri TAMISEMI, wataka ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za Halmashauri, wahofia uwepo ufujaji wa fedha za wananchi

    HALMASHAURI ya Wilaya ya Meatu kama ilivyo maeneo mengine ya Serikali za Mitaa inasimamiwa na kuongozwa kwa kuzingatia Sheria mbalimbali za nchi ikiwemo Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 na Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Meatu za Mwaka 2014 ambazo zinaelekeza mambo...
  7. SULEIMAN ABEID

    Mpina aanika bungeni madudu ya kutisha Ripoti ya CAG

    Mbunge wa jimbo la Kisesa wilayani Meatu - mkoa wa Simiyu aanika bungeni madudu Ripoti ya CAG. ===Fungua kiambatanisho.
  8. SULEIMAN ABEID

    Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

    Chuki mchukieni HAKI YAKE MPENI!
  9. SULEIMAN ABEID

    Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina azungumzia bungeni kuhusu mwenendo wa bei za mbolea nchini

    MWENENDO WA BEI ZA MBOLEA NCHINI Mheshimiwa Spika, kwa kuwa hapo awali sababu za kupanda kwa bei ya mbolea ukiacha sababu za vita ya Urusi na Ukraine na janga la UVIKO – 19, hazikuweza kuelezwa kikamilifu. Kwa kuwa wewe ndiye Waziri wa Fedha mwenye dhamana ya kusimamia sera za fedha na bajeti...
  10. SULEIMAN ABEID

    Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

    Ndoto nyingine zinatisha! Acha kabisa! Unaota unakula pilao! Unashituka usingizini unajikuta unatafuna blanketi[emoji38]
  11. SULEIMAN ABEID

    Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina achangia hoja Bungeni kuhusu hali ya uchumi nchini na makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali

    1. 0 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, awali ya yote nimshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha ya wazazi wangu na pia nichukue nafasi hii kuwashukuru sana waheshimiwa wabunge, Chama cha Mapinduzi, Viongozi wa Serikali, ndugu jamaa na marafiki, Baba Askofu Peter Phares Kisena, Mtume Boniface Mwamposa na...
  12. SULEIMAN ABEID

    Mbunge Luhaga Mpina achangia maoni bajeti ya Wizara ya Afya

    --- MCHANGO WA MAANDISHI WA MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) MBUNGE WA JIMBO LA KISESA (CCM) AKICHANGIA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA AFYA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 BUNGENI DODOMA TAREHE 16 MEI 2022 Mheshimiwa Spika, Kutokana na changamoto ya muda pamoja na kuchangia kwa...
  13. SULEIMAN ABEID

    Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

    Wakumbushe! Uhuru Kenyatta ni Muislamu au Mkristo[emoji1751]
  14. SULEIMAN ABEID

    Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

    Wee jamaa hata Rais Uhuru Kenyatta Mkristo saaafiiii alifanya hivyo! Au umesahau au ulikuwa hujazaliwa?
  15. SULEIMAN ABEID

    Wabunge wanatakiwa kuiva kweli kweli hasa kwenye taarifa sahihi(right information) katika michango yao wanapokuwa bungeni

    WABUNGE WA JMT WANATAKIWA KUIVA KWELI KWELI HASA KWENYE TAARIFA SAHIHI(RIGHT INFORMATION) KATIKA MICHANGO YAO WANAPOKUWA BUNGENI: Ni wakati sasa Wabunge wetu waache kufikiri kupata KATIBU ndiyo amemaliza kila kitu. Dunia ya sasa imebadilika sana, mambo mengi yanaenda kasi, inahitajika nguvu ya...
  16. SULEIMAN ABEID

    Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

    Kazi kweli kweli! Shida iko wapi? Kama kapangiwa mitano ni mitano tu haitazidi wala kupungua! Na kama ni 10 hakuna wa kumuondoa ila yeye aliyemuweka. Kumbuka kuna aliyehoji AKIONDOKA nani ataendeleza miradi aliyoianzisha? Akadai eti kama ataondoka wapo watu watang'oa madaraja anayojenga na...
  17. SULEIMAN ABEID

    Luhaga Mpina ataka maeneo ya kiuchumi yatungiwe sheria

    Mheshimiwa Spika, Maeneo mengi muhimu ya kijamii na kiuchumi kutotungiwa Sheria mahsusi na badala yake kutumika matamko ya baadhi ya viongozi na watendaji wa Serikali (a) Mheshimiwa Spika, Biashara za Machinga, Bodaboda, Mama Ntilie, Wauza mbogamboga kundi hili liko kwenye hekaheka kila leo...
  18. SULEIMAN ABEID

    Mchango wa mbunge mpina bungeni, ahoji usiri mkubwa katika mikataba ambayo serikali inaingia kwa niaba ya wananchi

    Mheshimiwa Spika, Serikali imekuwa ikiingia mikataba mingi kwa ajili ya shughuli za kiuchumi na kijamii na kwa bahati mbaya sana mikataba hii hutuzwa kwa siri kubwa, wabunge na wananchi wamekuwa wakilalamikia utekelezaji dhaifu wa baadhi ya mikataba bila kupata majibu fasaha. Lakini pia taarifa...
  19. SULEIMAN ABEID

    Uchumi umeanguka Kanda ya Ziwa, viwanda vya Samaki hatarini kufungwa

    WANA Bodi hali ya Uvuvi katika Ziwa Victoria imeelezwa kuwa ni mbaya sana na kuna hatari viwanda vya kuchakata samaki kufa na mapato mengi ya Serikali kupotea Ushuhuda uliotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRIl umeonesha hali ni mbaya kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu...
Back
Top Bottom