Kwa maoni yangu.
Ni kama vipi lile bunge lilikuwa linampa Mbowe promo za kisiasa badala ya kuwaelimisha watanzania uzuri wa yale makubaliano.
Ni kama vile wabunge walikuwa wanawapiga biti kali kali watanzania waliokuwa wanatoa hoja zao kuhusu makubaliano.
Ni kama vile wao ndio watanzania...
1. Ardhi nzuri na kubwa sana
- Yenye rutuba kwa ajili ya chakula cha watanzania na mataifa jirani
2. Madini ya kila aina
- Mengi sana. Mengine hayapatikani kokote isipokuwa Tanzania mfano madini ya Tanzanite.
3. Bahari na Maziwa
- Kwa ajili ya shughuli za kiuchumi za majini na mengine...
Japo kuna watanzania wanaowaona wapinzani kama wapiga kelele wasiokuwa na tija lakini ki ukweli wao ndio waliowasaidia watanzania kuamka walikuwa wamelala
Sheria hii inakuja nyakati ambazo kuna malalamiko kuwa usalama wa Taifa hawapo competent kwa maslahi mapana ya Taifa wana bias zaidi kulinda chama tawala.
Wengine husema ni Usalama wa CCM sio usalama wa Taifa kama watu wasemavyo ni Polisi CCM na sio Polisi Tanzania
"Unapowekewa kinga ya kutoshitakiwa ni kama vile umeambiwa fanya makosa kwa kadri uwezavyo ili mradi unafanya kwenye line ya majukumu yako kikazi. Ni kama vile umeondolewa umakini wako kazini........yaani ni sawa na kama umeambiwa huna sababu ya kuwa makini kazini kwako kwa sababu hata ukikosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.