Habari zenu wana jf napenda kuuliza kuhusu form four walioomba vyuo vya afya kutumia matokeo ya mwanzo kabla ya uchakachuajia wanawezekana wakachaguliwa au ndo tusahau tu? Ushauri plz
Habari wana jf wenzangu mm n kijana mwenye umri wa miaka 18 nasumbuliwa na tatizo la kutoa uchafu mweupe wenye utelezi ambao hauna harufu kwenye uume baada ya kukojoa ila wakati nakujoa kunakua hakuna maumivu yoyote na uchafu huu hutoka endapo tu nikiwa natoa haja kuja pia mkojo wangu...
Jamani mi ni kijana wa miaka 18 tatizo langu ni kwamba nimekuwa nikishindwa kuongea maneno kwa mtiririko nimekua nikiongea huku nikiacha maneno mengine mara naanzia kati sentensi ninazoongea hazieleweki hivyo naomba mnisaidie kama kuna tiba mbadala ili niondokane na hili tatizo ambalo limekua...
Habari zenu jamani! Mimi nimepata IV ya 27 na matokeo yangu yalikuwa hivi CIV-F ENG-D GEO-F KISW-C HIST-F PHY-D CHEM-C BIO-C MATH-F Nilikuwa nataka nikasome form five shule za private comb ya PCB ila nahofia math nina f naweza kukubaliwa kweli? au nisubiri tume inaweza kuleta...
Jamani nisaidieni nina IV ya 27 CIV-F GEO-F KISW-C HIST-F ENG-D MATH-F BIO-C PHY-D CHEM-C nataka niende form five katika shule za private nikasome PCB. Hivi kwa hilo itawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.