mwampamba, kwanini usiende kwenu kijijini mbozi ukalime viazi na mahindi kuliko kuzurura hapa kwetu dar es salaam bila kazi, umeamua kuwa wa mipasho kama wamama wa kizaramo, mtoto wa kiume wewe ACHA UJINGA.
tarehe 21 january ndio tarehe iliyotangazwa kwamba stendi ya mabasi yaendayo mikoani ubungo itahamia mbezi louis ili kupisha mradi wa mabasi yaendayo kasi, lakini mpaka leo agizo halijatekelezwa na ujenzi unaendelea katika msongamano mkubwa wa foleni, je waziri anatoa kauli gani kuhusu hili.
habari za hivi punde kutoka katika kituo kikuu cha uhesabuji wa kura mjini nairobi, ni kwamba mgombea wa muungano wa jubillee bwana uhuru kenyata anaongoza kwa 54 dhidi ya odinga kwa 40.ACCORDING TO BBC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.