Hizi ni data chache tu za mtazamo wa mkuu wa nchi anavopenda michezo.
Kama mkuu kabisa wan chi alisema lazima awalete Real Madrid 2010 wacheze uwanja wa Neshno, sijajua watacheza na Yanga, Simba au Azam tunawasubiri
Akiwa Spain, alikwenda uwanja wa Real Madrid, akapiga picha...
Hasheem analegalega NBA anakuja kuleta ujanja Bongo, kama yeye mtu wa varangati akawafanyie huko US aone matokeo yake!! Huu ni uhayawani na upunguani wa wanaoitwa celebrities wa kibongo.....mimi naona hao wot eni wapuuzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.