Search results

  1. N

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Kwa mwanga safi, mapishi bila moshi..............
  2. N

    Waandishi wa habari (magazeti) mbadilike

    Hivi sasa nchini kuna zaidi ya magazeti kumi yanatoka kila siku. Lakini ukinunua moja tu utakuwa umesoma magazeti yote kwa habari ya front page. Ni jambo la kushangaza sana inakuwaje magazeti kufanana habari wakati fulani hadi picha. Kuna sababu mbili tu huo upuuzi: Magazeti kuwa na chanzo...
  3. N

    Lowassa hujatimiza maono yangu

    Hivi kweli wataka jina lake? Ina maana maono yangu yalikuwa fake? Haiwezekani HE SHALL BE
  4. N

    Natafuta mwanamke aliyeachika/hajaolewa

    Ndio hao wanatafutwa
  5. N

    Natafuta mwanamke aliyeachika/hajaolewa

    Najua na wewe ni memba hapa
  6. N

    Natafuta mwanamke aliyeachika/hajaolewa

    Sana tu anafaa pia
  7. N

    Natafuta mwanamke aliyeachika/hajaolewa

    Maisha na huyu mke wangu yamenishinda kabisa, ila bado nahitaji mahusiano na mwanamke. Natafuta mwanamke ambaye hana mume kwa sasa umri above 27yrs ili tuanzishe mahusiano, umri wangu ni >27 < 48yrs.........ndoa yangu hii ilifungwa Kiislamu ingawa sasa mimi ni mkristo. Karibu
  8. N

    Tujikumbushe enzi zile za kibanda absalom

    Wenye macho waliyaona haya tangu zamani.............sijui Kibanda ana mtazamo huu hata leo au ilikuwa ''vita vya kambi'' tu
  9. N

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Huyu Salama Mfamao alikuwa ni balaa.....kachangia sana ...............
  10. N

    Wamalawi Waliopo TANZANIA

    Uwezo wao ni mkubwa sababu ya kula aina fulani ya samaki wanaopatikana ziwani
  11. N

    Lowassa hujatimiza maono yangu

    Mhhh kazi kweli kweli. Nataka kubadili mawazo
  12. N

    Majambazi sugu watano wauwawa mbeya

    MTANDAO wa Ujambazi nchini hususani Mkoani Mbeya umezidi kusambaratishwa baada ya watu watano wanaodaiwa kuwa ni majambazi kuuawa na Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani amewaambia Wandishi wa Habari Ofisini kwake kuwa tukio hilo...
  13. N

    Majambazi sugu watano wauwawa mbeya

    AUDIFACE JACKSON - OFFICIAL BLOG: BREAKING NEWSSS : WATU WATANO WANAOSADIKIWA KUWA NI MAJAMBAZI WAUWAWA NA POLISI MKOANI MBEYA
  14. N

    Sijawahi kufika kileleni

    kufika kileleni hakutegemei tour guide peke yake bali pia mpandaji naye ana sehemu kubwa sana ya kufanikisha safari.....
  15. N

    Lowassa hujatimiza maono yangu

    Nimerejea tena kupima kama maono yangu yanaendelea vyema..........Sijui mwelekeo ukoje kwa huyu mheshimiwa?
  16. N

    Tujikumbushe enzi zile za kibanda absalom

    Mhhh Kibanda alikuwa anawafahamu hao wajinga...............huyu jamaa yuko mbele sana
  17. N

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Yuko wapi Bakari Msulwa?
  18. N

    Tujikumbushe enzi zile za kibanda absalom

    Kibanda aliwahi kuandika hivi hapa J ''Kwanza napenda kuwafahamisha wachangiaji wa JF kwamba niliandika makala ya uchambuzi (analysis) iliyochapishwa katika ukurasa wa 11 wa maoni na mawazo ya watu binafsi. Baadhi ya watu wamenihukumu kwa kuwa bias wakati yale ni maoni na si...
Back
Top Bottom