Kinachomata ni kwenda kupiga kura. Haijarishi ni mda gani!! Inatakiwa tuwe na desturi ya kupanga mida yetu, mtu anaweza kwenda kanisani kusari na harafu akarudi kupiga kura, au kama ibada ni ndefu saana (siamini kama kuna ibada ya zaidi ya kutwa nzima) ndipo mtu mwenyewe aschedule mda wake ili...
huyo jama ambae anasema wanawake vibaya, anakosea sana. Kama yeye na anaemwita mpenzi wake walikosana eti kwa kuoga pamoja, huyo mwenzakle alikua anamwibia au yeye mwenyewe alikua anamwibia mwanamke.
Mi nanoona kwa mtu anekua serious labda ofisini na kazi ni kwamba anajitahidi kuhakisha kua familia yake inasonga mbele kimaendeleo. Sasa kinachobaki ni kuaminiana tu, ila nae kweli asitumie hiyo chance ya u busy ofisini kufanya mambo yake.
Unapoamua kua na mpenzi wa kudumu hakikisha kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.