Search results

  1. K

    Rose muhando aipasua ndoa ya alex msama

    ni mara chachje sana kwa wabongo kusema ukweli
  2. K

    Vicky Mtetema & Flora Nducha wa BBC Waula!

    Sio tetesi ni habari za kweli
  3. K

    Ipi Bora kati ya hizi tatu

    nitkujbu kesho
  4. K

    Waziri wa Mkapa amshukia Kikwete ataka CCM imtose 2010

    hawa wote walikuwa serikalini na mambo bado yalikuwa mabaya na rushwa ilikuwa kubwa,ni kwa sababu wamenyang'anywa tonge mdomoni sasa wanatapatapa,pia hawa walikuwa against kikwete na hata salim mwenyewe yuko against kikwete kwa namna moja au nyingine ni lazima watamponda kikwete,mbona wao...
  5. K

    Kuporomoka kwa magazeti ya Rostam

    bongo hakuna uandishi habari wa uhakia ni kuganga njaa tu
  6. K

    Jide na Gadner acheni hizooo!

    mimi ni mkristo lakini sasa hivi nipo makkah kwa mapumziko mafupi,mtasema vipi?
  7. K

    Jide na Gadner acheni hizooo!

    mbona wabongo mnakuwa hampendi wanayofanya wenzenu,kwanini hamuwaelezi wageni wanaokuja kutalii kwetu wasiweke pesa zao badala ya kuja huku nyie mnawaona jide na Gardner tu?acheni wivu,je kwa mimi ambaye niliamua kwenda vacation makkah mtasemaje?
  8. K

    East Africa Fibre Optic Cable: Connectivity, issues & progress

    hayo makampuni baadhi ya mafisadi ni wakurugenzi na wenyeviti wa boards tuwe makini wanaweza kufanya njama SEACOM ife
  9. K

    Misemo na Maneno ya zamani

    kishtobe, raba mtoni, kwa mama,(uk) unyamwezini(USA) nyapu, pipa(ndege)
  10. K

    Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

    tupatie huo waraka ili tuujadili na sisi wabongo tuliopo huku nje ya nchi
  11. K

    Nani ni mmiliki wa Channel 10?

    mtu wa manzese hawezi kumiliki vyombo vya habari,lazima mafisadi wamiliki ili wazibe ulaji wao
  12. K

    Taarab ZIMEPOTOSHWA au kulikoni?

    ni kawaida ya sanaa yoyote kuburudisha,kukosoa na kufundisha,taarabu iwe ya kisasa au ile ya zamani ni sanaa inyofanya hivyo ila taadhira ndyo inayoharibu ujumbe na maudhui yaliyomo kwenye nyimbo za taarabu,kwa mfano haya yanapotoshwa mno sehemu za uswazi kwani ni vigumu mno kwao kutafsiri...
  13. K

    Hongereni NSSF kwa kufanya hivi

    wanajua polisi hawatawapelleza kwa ufisadi wao wa kula mafao ya waliokufa na wasiodai
  14. K

    Hongereni NSSF kwa kufanya hivi

    hawa nssf wanajipendekeza tu kwa polisi,kwanini wasijenge nyumba pale manzese ili watu waishi sehemu nzri
  15. K

    This is Rostam I know... The Story Behind the Man

    wannaingia siasana ili waibe vizuri
  16. K

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    hakuna madhara kinachotakiwa ni usafi kwa sana
  17. K

    Regina Chiluba apata dhamana

    ''owners of capital will stimulate working class to buy more and more of expensive goods,houses and technology,pushing them to take more and more expensive credits,until their debt becomes unbearable,the unpaid debt will lead to bankruptcy of banks which will have to be nationalised and state...
  18. K

    Sappi yuko sahihi kuhusu uwezo wa Maximo?

    ni sawa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni ili mradi havunji sheria,lakini yasiwe maoni ya kiwendaazimu kama ya sapi.ameamua kupayuka bila kutoa mtizamo wa kiufundi,lazma tukubali maximo amerudisha kwa kiasi fulani heshima ya tanzania kisoka
Back
Top Bottom