I hope, and, pray that this despot and his cohorts will be brought to justice!
I have so much respect for H.E. sir Ian of Botswana for openly speaking out against this hooligan. I always wonder what has become of our leaders, what is it that they benefit from embracing a murderer? Some one who...
Unajua haya ndio baadhi ya ambayo yanafanya waTanzania wote tuonekane kuwa na ufinyu wa kufikiri. Tunapenda sana mambo ya umbea, ushoga na uzushi usio na maana yeyote katika maendeleo ya nchi yetu. Hapa hoja, kama alivyowakilisha Mwita ni kuangalia utendaji wa mtu binafsi na tumuhukumu kwa hilo...
Ni ule wimbo mashuhuri wa mchakamchaka enzi hizo shule:
Idi amini akifa, mimi siwezi kulia/ nitamtupa kagera/awe chakula cha mamba!!!!
Mchakamchaka chinja!!
teh teh tehh!!!
Body language inatoa ujumbe mwingine. Inaonyesha taadhima aliyonayo bw.JK kwa mh. Mengi. Isitoshe Mengi amekuwa mchangiaji mkubwa katika kampeni mbalimbali za CCM, kwa hiyo naamini viongozi muhimu wa CCM ikiwamo NEC,CC na mabaraza mbalimbali hususan la wazee, wako upande wa Mengi. Kimsingi...
Nimeshtushwa na thamani ya mali zisizohamishika ambazo Mh. Yona na Mwenzake Mramba, waliziwekana kama rehani dhidi ya uhuru wao katika kesi inayowakabili ya matumizi mabaya ya madaraka yao.
Kilichinishtua sio uwezekano wa Mtanzania kuwa na mali nyingi kiasi hiki, la! Ila haijaniingia akilini...
Mengi jino kwa jino na Masha
Habari Zinazoshabihiana
Polisi avunjwa jino kwa chupa ya bia 03.08.2007 [Soma]
Shekhe jino kwa jino na Mchungaji kuhusu Dito 22.03.2007 [Soma]
Kupanda kwa bei za mafuta:Masha asema Serikali inafanyia kazi mapendekezo 27.05.2006 [Soma]...
Mimi nadhani kuwa Mengi ni alama ya wajasiriamali makini katika nchi yetu wenye asili ya Tanzania. Kwa lugha ya Mh. Simba, mzawa. Kama unafuatilia kwa karibu maendeleo ya uwekezaji bongo utajua fika kuwa kuna wafanyibiashara wengi wenye asili ya kiasia ambao wametumia nguvu yao ya pesa...
Azania imechanganyika na mademu? Hii kweli balaa! Yani hamna hata fleva tena ya chama letu!! Mimi nakumbuka kiunganishi mashuhuri cha mwalimu Mitimingi hasa, akiongea kiingereza. Badala ya kusema kiufasaha 'another thing' alikuwa akitumia sana neno 'anaza sing' , basi kwetu ikawa kila akija...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.