Hivi Magufuli ulikuwa unamlilia Dr Reginald Mengi Kweli??? Wakati unatutesa, unatuua , unatuteka! Sisi watu wa Kilimanjaro tumezoea kuishi kwa kutofautiana.......hayo mambo ya Burundi yaridishe Butunfi uliko yatoa
Ukiona anajiamini, anapenda watu wake, Hana chili......hasemi semi “ mimi Ndio Rais “ hatumii hila kutafuta sifa zisizo na tija , huyo atakuwa Rais wa Wananchi
Kwanini zile computer za center for human right zilichukuliwa na Police??? Katika uchaguzi wa 2015????? Kwanini matokeo yalikuwa yanatumwa mwingine Ndio yawned tume ya uchaguzi......Kile kituo Cha Mlimani City kilikuwa Cha nini?
Tanzania katika Umri huu wa Taifa letu , tu Najua Au tu nahisi kuna Baadhi ya viongozi wetu wakuu wa taifa(Maraisi)!walilazimishiwa na tume ya uchaguzi na sio waliochaguliwa na wananchi na kuna waliotangazwa na Tume na pia wananchi waliwaridhia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.